Sasa hivi dola inatafutwa kwa nguvu zote, jamaa wanataka kusepa.
Shidaaaaaa!! Lakini Uchumi wetu unakuwa kwa 7+%.Naishia hapa mjadili hili.
Bila shaka unalipwa kwa dola wewe[emoji23][emoji23]Natamani ifike $1~5,000
Sina uhakika na hilo.. bureau de change haihusiki hapa. Uchumi wa nchi haupimwi hvyoNilichosikia jana kutoka kwa makonda kuhusu hizi bureau de change zetu, bila kudhibitiwa dola itaendelea kupaa dhidi ya tshs.
Suche! haba habanaioko wanda haba. mimi sasa nabanda dege kwenda zagu Canada, tarudi hii kufuli natoka!WANASEPA KUELEKEA WAPI MKUU?
Haswaaaaa!Bila shaka unalipwa kwa dola wewe[emoji23][emoji23]
Sent from my HUAWEI VNS-L21 using JamiiForums mobile app
Suche! haba habanaioko wanda haba. mimi sasa nabanda dege kwenda zagu Canada, tarudi hii kufuli natoka!