Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Wewe ni chizi. Hakuna haja ya kumchukuia Mfanyakazi wa Airtel kisa wewe unafanya kazi Vodacom. Unataka kufanya mpira ni uadui. Mohamed Husein ni miongoni mwa wachezaji wanaojielewa sana na Simba ni club pia inayoelewa mambo katika mapana yake.Nimemuona Tshabalala kwenye mechi ya Team Kibwana vs Team Job ingawa wapo baadhi ya wachezaji wa Simba wakiwemo Israel Mwenda na Mzamiru Yassin.
Hata hivyo nimeona pia kwenye page ya engineer akipost picha yake akiwa dimbani na akamcopy Tshabalala.
Mtu yeyote aliyesoma sheria ya ushahidi anajua what is circumstantial evidence.Au wale wambea wanaojua kulinganisha doti watakubaliana na mm kuwa kuna kitu kati ya Tshabalala na watu wa utopolo.
Ndio maana ukimuuliza Tshabalala wachezaji anaowakubali utasikia Msuva, Mkude anayedaiwa kutaka kwenda Yanga, Mayele, Diara, Aucho nk.
Simba mchunguzeni mchezaji huyu mtakuja kunishukuru.
Mpira sio uadui.Nimemuona Tshabalala kwenye mechi ya Team Kibwana vs Team Job ingawa wapo baadhi ya wachezaji wa Simba wakiwemo Israel Mwenda na Mzamiru Yassin.
Hata hivyo nimeona pia kwenye page ya engineer akipost picha yake akiwa dimbani na akamcopy Tshabalala.
Mtu yeyote aliyesoma sheria ya ushahidi anajua what is circumstantial evidence.Au wale wambea wanaojua kulinganisha doti watakubaliana na mm kuwa kuna kitu kati ya Tshabalala na watu wa utopolo.
Ndio maana ukimuuliza Tshabalala wachezaji anaowakubali utasikia Msuva, Mkude anayedaiwa kutaka kwenda Yanga, Mayele, Diara, Aucho nk.
Simba mchunguzeni mchezaji huyu mtakuja kunishukuru.
ni kweli maana yeye ni yanga dam dam bali simba kafata rizkiNimemuona Tshabalala kwenye mechi ya Team Kibwana vs Team Job ingawa wapo baadhi ya wachezaji wa Simba wakiwemo Israel Mwenda na Mzamiru Yassin.
Hata hivyo nimeona pia kwenye page ya engineer akipost picha yake akiwa dimbani na akamcopy Tshabalala.
Mtu yeyote aliyesoma sheria ya ushahidi anajua what is circumstantial evidence.Au wale wambea wanaojua kulinganisha doti watakubaliana na mm kuwa kuna kitu kati ya Tshabalala na watu wa utopolo.
Ndio maana ukimuuliza Tshabalala wachezaji anaowakubali utasikia Msuva, Mkude anayedaiwa kutaka kwenda Yanga, Mayele, Diara, Aucho nk.
Simba mchunguzeni mchezaji huyu mtakuja kunishukuru.
Aende huko Yanga, mlango uko wazi anashindwa nn.ni kweli maana yeye ni yanga dam dam bali simba kafata rizki
Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app