Makambaja
Senior Member
- Aug 11, 2014
- 107
- 84
1 US Dollar = 1834.59 Tanzanian Shilling
Nadhani tunaelekea kuwa sawa na hali ya uchumi ya zimbabwe iliyotokea miaka ya nyuma kidogo.Kupata mkate mmoja ungeweza kubeba hela kwenye mfuko wa rambo.
Lakini hoja yangu ya msingi ni hii hapa, "Hawa ndugu zetu tuliowapa udereva wa kuliongoza hili jahazi wanafanya nn kuinusuru hii shillingi inayoporomoka kila kukicha? ".
Lakini najiuliza pia, labda hatujui madhara ya shillingi kuporomoka? Napata shida pia kukisia hela yetu ya madafu italinganishwa na nini mwishoni mwa mwaka huu? Nani alaumiwe? Nachelea kusema thamani ya shillingi yetu ipo mahututi.
Nadhani tunaelekea kuwa sawa na hali ya uchumi ya zimbabwe iliyotokea miaka ya nyuma kidogo.Kupata mkate mmoja ungeweza kubeba hela kwenye mfuko wa rambo.
Lakini hoja yangu ya msingi ni hii hapa, "Hawa ndugu zetu tuliowapa udereva wa kuliongoza hili jahazi wanafanya nn kuinusuru hii shillingi inayoporomoka kila kukicha? ".
Lakini najiuliza pia, labda hatujui madhara ya shillingi kuporomoka? Napata shida pia kukisia hela yetu ya madafu italinganishwa na nini mwishoni mwa mwaka huu? Nani alaumiwe? Nachelea kusema thamani ya shillingi yetu ipo mahututi.