Tshs

Kanyafu Nkanwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2010
Posts
850
Reaction score
103
Wataalamu wa Uchumi nisaidieni. Wakati tukilalamika kuwa shillingi yetu inaporomoka, nilishikwa na butwaa kuona kuwa shillingi hiyo hiyo imeimaika sana against Kenyan shilling. Siku za nyuma mwaka juzi nilinunua KSHS moja kwa TSHS 20 lakini sasa ni KSHS 1 kwa Tshs 14.
Hii imeekaaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…