... engineer wa bot aliyelipua bomu (whitsle blower) hivi karibuni yeye alikataa kuunga mkono juhudi za kina liyumba za kuongeza garama za jengo, uliskia kilichompata, alihamishiwa mwanza na akaambiwa kwanza ni incompitent kwani pale engineering mlimani ktk degree yake alipata lower second kwa iyo hana akili za kupima kama garama ni sahihi au la na akatupwa mwanza akale samaki sijui ndio akili zirudi!....
QUOTE]
Argument yako kaka iko fresh.
Ila hapo kwenye bold mkuu taratibu. Yaani mtu kupelekwa mwanza wewe ndio unahesabu katupwa huyo? Mwanza si city mkuu? Naelewa argument yako ila nataka kusema huyo jamaa kwenda mwanza hajatupwa bana. kuna watu waliotupwa aisee usifanye mchezo.