Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
TTCL ni mtandao pekee wenye spidi 4.5G kwenye intaneti.Mtandao wa ajabu mnoo,huduma mbovu mnoo,unakamata mjini tu,
T.pesa ni ujinga mtupu!
[
Naona mwanvuli wa Tigo hapo..., it shows the gap baina yenu na wenzenu..., yaani kama wao ni heavyweights nyie bado ni lightweight...
Ushauri mzuri sana huu.Ni wa shauri kitu kimoja.
"WEKEZENI KWENYE INTERNET "
Mkeweza hapo basi mmeshinda.
Speed ya Internet ni tatizo kwa mitandao mingi hapa Tanzania.
Natumia halotel nikikaa ndani Internet haishiki inabidi nitoke nje .na kuna baridi Na mbu
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Ila mazoea nae sitaki nitakukata hivo vyumbu vyako vinavyokuhangaisha na kuwapa fisi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sawa mkuu
[emoji23][emoji23]mkuu tunaharibu tangazo la watu.Ila mazoea nae sitaki nitakukata hivo vyumbu vyako vinavyokuhangaisha na kuwapa fisi
Piece of shit networkKaribu tukuhudumie.
Tembelea banda letu katika Viwanja vya Nyakabindi Simiyu.
#RudiNyumbaniKumenoga .View attachment 1526612
Vifurushi vyao vya data vipoje? Kwa wiki na mweziZantel hawana promo ila wako vema sana.
Bonga mwezi [emoji116]View attachment 1519070
Bonga [emoji116]
View attachment 1519072
Bila kikomo[emoji116]
View attachment 1519068
Acha kutukana mkuu, matusi hayasaidii kitu.Piece of shit networkView attachment 1538584
Niko kwa jirani HALOTEL najiachia na bando ya 10gb sh. 10000 kwa mwezi.Acha kutukana mkuu, matusi hayasaidii kitu.
Rudi Nyumbani Kumenoga
Kila kampuni ila limit ya kusajili laini yao.Kuna kitu kimoja kinanishangaza sana
TCRA wamesema ni kosa kumiliki laini mbili bila sababu au ruhusa kutoka kwao.
Cha ajabu laini mpya kila siku zinauzwa na mchawi ni kitambulisho chako tu.
Sasa najiuliza hao TCRA nia yao nini ?.
Tusajili laini nyingi ili waje watupate wengi au hawajui wanachotaka..
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
You too.Niko kwa jirani HALOTEL najiachia na bando ya 10gb sh. 10000 kwa mwezi.
Ushauri wangu kwa TTCL:
-Eat shit.
Ninashukuru sana kwa ushauri wako kaka mkubwa.Nakushauri; hiyo business plan ulonayo omba appointment kuonana na CEO na bainisha wazi DHIMA yako.
Utapata nafasi ya kufanya presentation, wazo lako likionekana ni productive am sure utapata nafasi na kuwa sehemu ya utekelezaji wake.
Na hii ndo njia ambayo wengi hujipatia ajira, kwa jina lingine unaweza kuiita "BUSINESS and MARKETING INTELLIGENCE" wengi hawajui ila waajiri wengi siku hizi wanatafuta watu wa CALIBRE hii wenye CONSTRUCTIVE IDEAS.
Chukua ushauri wangu na utakuja kunishukuru siku moja.
All the best
Walisema uwe na sababuKila kampuni ila limit ya kusajili laini yao.
Mfano TTCL ukitumia kitambulisho chako unaruhusiwa kusajili laini zisizidi 5.
Halotel nao laini 5.
Ukiwa mkoa tofauti na dar inasumbua mnoHivi wanaolalamika kuwa TTCL network inasumbua inakuwaje mbona wengine network iko 4G muda wote na vitu huwa vinafunguka ndani ya sekunde tu
Malamba mawili,kifuru,kibamba,king'azi ndani ya dar net yenu ya shida,ongezeni minara[emoji23][emoji23][emoji23]usiwaze mkuu, miavuli ya TTCL ipo njiani kuja Tanzania.
Cha kufanya tafuta watu hata 100, ili ilifika nikugawie bure usambaze kwa watu wako.
Rudi Nyumbani Kumenoga
Tatizo linaweza kuwa ni ubora wa simu wanazotumia, sijaitaja tecno Tafadhali sana.Hivi wanaolalamika kuwa TTCL network inasumbua inakuwaje mbona wengine network iko 4G muda wote na vitu huwa vinafunguka ndani ya sekunde tu