TTCL FIBER INTERNET INAPITA KWENYE NGUZO AU??

TTCL FIBER INTERNET INAPITA KWENYE NGUZO AU??

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Naombeni mnijuze hii ttcl internet fiber huwa inavyopita chini inawezaje kusambazwa majumbani, inabidi machimbo yachimbwe majumbani ili kuvutiwa waya wa fibrea au inakuwaje?
 
Fiber inapita chini ya Ardhi kwa masafa marefu, ila ikifika mitaani inapita kwenye nguzo, Atleast ndio wanavyo fanya huku mjini.

Kunakuwa na Chemba zao za Ardhini wanafunika kabisa na machuma kama ya maji taka wanaandika TTCL.
 
Fiber inapita chini ya Ardhi kwa masafa marefu, ila ikifika mitaani inapita kwenye nguzo, Atleast ndio wanavyo fanya huku mjini.

Kunakuwa na Chemba zao za Ardhini wanafunika kabisa na machuma kama ya maji taka wanaandika TTCL.
kwa hio mkuu, hio fiber inakuwepo humu kwenye nguzo za ttcl ??


1639488097754.png


naona wanajitaidi saizi imekuwepo mikoa mingi NICTBB
 
Fiber inapita chini ya Ardhi kwa masafa marefu, ila ikifika mitaani inapita kwenye nguzo, Atleast ndio wanavyo fanya huku mjini.

Kunakuwa na Chemba zao za Ardhini wanafunika kabisa na machuma kama ya maji taka wanaandika TTCL.
Mi nimeunganishiwa hii ya nyaya za kawaida kwa kulipia kwa mwezi. Kumbe TTCL wana huduma ya fiber pia.
 
Kwa kawaida huwa kuna njia mbili za kutandaza fiber, chini ya ardhi na juu kama alivyoeleza Chief-Mkwawa Mkwawa...

Kutokana shughuli za kibinadamu, kwenye maeneo ya watu mara nyingi huwa cabla inapita juu kwa uwepo wa nguzo, na pia kwenye national backbone kuna maeneo yenye kama mito, ardhi oevu, miamba migumu huwa wanapitisha juu...
 
kwa hio mkuu, hio fiber inakuwepo humu kwenye nguzo ??


View attachment 2043928

naona wanajitaidi saizi imekuwepo mikoa mingi NICTBB

Hii inaweza isiwe NICTBB, inaweza ikawa Simbanet, Raddy fiber (consortium fiber) au hao TTCL...

Kwa karibu hapo naona kuna mnara wa simu, na fiber imefikishwa hapo ili kubeba na kuleta mawasiliano katika hiyo site
 
Hii inaweza isiwe NICTBB, inaweza ikawa Simbanet, Raddy fiber (consortium fiber) au hao TTCL...

Kwa karibu hapo naona kuna mnara wa simu, na fiber imefikishwa hapo ili kubeba na kuleta mawasiliano katika hiyo site
Niatajuaje nguzo ya simu ina cable ya fibre
 
Fiber inapita chini ya Ardhi kwa masafa marefu, ila ikifika mitaani inapita kwenye nguzo, Atleast ndio wanavyo fanya huku mjini.

Kunakuwa na Chemba zao za Ardhini wanafunika kabisa na machuma kama ya maji taka wanaandika TTCL.
Kwa mara ya kwanza ndio nimeona jana lile chemba chifu lina mfuniko wa chuma kabisa nikajiridhisha baada ya kuona watumishi wa ttcl na gari yao ikiwa pale
 
Back
Top Bottom