TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

Boss hapa mjini kampuni tatu tuh ndo zina true unlimited bundles ambazo speed hazishuki
1.Zuku fiber
2.CTV
3.TTCL

Usikubali kununua internet za dish, hizo zinakua na downtime mara nyingi
 
Wao watakuwa wanamaanisha unlimited bundle ila kimsingi huenda ikawa connected na speed twists. ISP wengi wa kibongo ni matapeli
Ila hawajafafanua kama ni
  • Unlimited data bundle au
  • Unlimited speed au
Vyote unlimited kwa pamoja
Terms and condition zipo wazi tunaamu tu kuzikimbia.

Home internet ni unlimited bundle hupimiwi, nimetumia TTCL, Zuku, na wengineo.

Speed sio unlimited unalipa kutokana na speed unayotaka na sio dedicated ni up to.

Ila kutokana na capacity ya fiber kuwa kubwa kibongo bongo bado sana kuijaza, waya mmoja unapeleka hadi 10gbps,

Ndio maana unaona ukilipa cha 10mbps wa wanakupa 20, ukilipa 40 wanakupa 100 etc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…