Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
Zuku Fibermzigo unatembea 10MB per second?? yaani ni equivalent ya 80mbps speed duuh hii package gani mkuu na kampuni gani?
Nawapataje hawa watu, wanipe huduma kwa hapa kariakoo?Zuku Fiber
Package ni up to 100mbps.
Tunalipia up to 40mbps wanatupa ofa
Wakishakuungia unaweza kaa miezi hata usiongee na wahudumu.
Kariakoo wamejaa kibao ukiwapigia fasta wanakuja kufunga, sometime siku hio hio.Nawapataje hawa watu, wanipe huduma kwa hapa kariakoo?
Shukrani mzee, nina kamgahawa nafungua, si itafaa kwa Wi-Fi?Kariakoo wamejaa kibao ukiwapigia fasta wanakuja kufunga, sometime siku hio hio.
Mcheki huyu kama bado anafunga
+255 715 445 750
Inafaa mkuu, ndo wanazotumia mjini siku hizi.Shukrani mzee, nina kamgahawa nafungua, si itafaa kwa Wi-Fi?
Pamoja saana mzeeInafaa mkuu, ndo wanazotumia mjini siku hizi.
Sorry for late reply. Naamin hapo juu, Chief Mkwawa amekupatia nambari.Nawapataje hawa watu, wanipe huduma kwa hapa kariakoo?
Usijali kaka tuko pamoja,Sorry for late reply. Naamin hapo juu, Chief Mkwawa amekupatia nambari.
[emoji120][emoji120][emoji120]
Wajitahidi maana washapewa access ya nguzo za Tanesco hivyo wao hawatahitaji tena usumbufu wa mimguzoWakishakuungia unaweza kaa miezi hata usiongee na wahudumu.
Hata hio mitandao ya simu kila siku tunagombana na customer care.
Adsl ama? Maana fiber zao wanapitisha Chini ya Ardhi, zitatoka juu majumbani.Wajitahidi maana washapewa access ya nguzo za Tanesco hivyo wao hawatahitaji tena usumbufu wa mimguzo
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mzee unaupiga mwingi kama mama [emoji119]View attachment 2298545 [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Boss hapa mjini kampuni tatu tuh ndo zina true unlimited bundles ambazo speed hazishukiWakuu habari zenu.
Natumai mu wazima.
Kutokana na mabando kuwa juu, niliamua kwenda maduka ya TTCL na Voda shop kuangalia home internet.
TTCL walinipa hii details.
View attachment 2097538
Kulingana na matumizi yangu nilipenda hicho cha 55k.
Lakini sijajua wakoje kihuduma plus kununua DSL modem.
Nikaamua kucheki Voda Supa kasi
View attachment 2097542
Voda wana laki 115000 lakini nimeenda Voda Shop Ubungo plaza wananiambia wana Laini ya Supakasi Unlimited 50k kwa mwezi.
Watalaamu naomba ushauri ni ipi reliable isiyo na speed ya kusua sua ili nichukue nihustle kutafuta hela.
Mabando ya 3k kila siku yanaumiza alafu unatumia kibahili sio.
Naombeni msaada sana.
Shukrani in advance.
Kwa mwezi ndo hiyo 55,000? Naweza download mizigo ya 80GB ndani ya siku moja?Zuku Fiber
Package ni up to 100mbps.
Tunalipia up to 40mbps wanatupa ofa
zuku au ttcl nani yupo maeneno ya SINZA DAR
Wakishakuungia unaweza kaa miezi hata usiongee na wahudumu.
Hata hio mitandao ya simu kila siku tunagombana na customer care.
Ila hawajafafanua kama niHamnaga kitu kama unlimited kwa pesa hizo!
Kwa mwezi ndo hiyo 55,000? Naweza download mizigo ya 80GB ndani ya siku moja?
Ila hawajafafanua kama ni
Vyote unlimited kwa pamoja
- Unlimited data bundle au
- Unlimited speed au
Wao watakuwa wanamaanisha unlimited bundle ila kimsingi huenda ikawa connected na speed twists. ISP wengi wa kibongo ni matapeli
Terms and condition zipo wazi tunaamu tu kuzikimbia.Ila hawajafafanua kama ni
Vyote unlimited kwa pamoja
- Unlimited data bundle au
- Unlimited speed au