Ibnain
Member
- Jun 6, 2019
- 27
- 26
TTCL Fiber mlangoni kinachoboa ni kwamba ukimuunga mtu atumie Wi-Fi yako basi yeye moja kwa moja anakua na access ya router yako anaweza unganisha mwengine kwa ku-share QR Code au ku-access Password kabsaa hii kitu ina boa sanaa.
Na hawa jamaa hawakupi access ya router labda hubadili Password hawakupi Ukitaka ku change Password hadi uwa tafute wao ndo waje wa change na unaweza wasubir miezi ndo waje wa change.
Hili linakera sanaa aisee kwanin hawati access hata ya kuchange Password basi waweke security ya mtu kuto share password na QR Code ukisha mjoin.
Na hawa jamaa hawakupi access ya router labda hubadili Password hawakupi Ukitaka ku change Password hadi uwa tafute wao ndo waje wa change na unaweza wasubir miezi ndo waje wa change.
Hili linakera sanaa aisee kwanin hawati access hata ya kuchange Password basi waweke security ya mtu kuto share password na QR Code ukisha mjoin.