Wakati huko nako kuna ATCL, nyingine???yaani serikali na biashara hasa hizi za kiafrika ni ngumu mno!!!licha ya hao ATCL, kubebwa kwa kuikimbiza, fastjet na kuidhofisha precion , mbona biashara imemshinda?!!biashara sio nguvu bali ni mikakati imala tu.