KERO TTCL iangalie huduma za mawasiliano Kata za Kikio na Misughaa Mkoani Singida

KERO TTCL iangalie huduma za mawasiliano Kata za Kikio na Misughaa Mkoani Singida

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Joined
Jan 30, 2024
Posts
7
Reaction score
0
Tunaomba Kampuni ya Mawasilano ya TTCL iangalie huduma za mawasiliano katika mnara uliopo katika Kata za Kikio na Misughaa Mkoa wa Singida.

Kuna muda Mtandao unakuwa haupo inakuwa kero sana, inadaiwa chanzo ni kutokana na mnara huo kutumia Mitambo ya Sola licha ya kuwa nguzo za umeme zipo karibu na mnara.

Inakuwa ni changamoto kipindi cha hali ya mawingu.

Msaada hii taarifa iwafikie wahusika wanatutesa kwa kukosa huduma ya Mtandao na mawasiliano kwa jumla.

Pia, soma: Changamoto ya huduma ya mawasiliano ya TTCL kata ya Kikio na Misughaa imetatuliwa
 
Tunaomba kampuni ya Mawasilano ya TTCL iangalie huduma za mawasiliano katika mnara uliopo katika kata za Kikio na Misughaa mkoa wa Singida. Kuna muda mtandao unakuwa haupo kutokana na mnara huo kutumia mitambo ya sola licha ya kuwa nguzo za umeme zipo karibu na mnara.

Inakuwa ni changamoto kipindi cha hali ya mawingu.

Msaada
Acha kusumbua Viongozi
 
Tunaomba Kampuni ya Mawasilano ya TTCL iangalie huduma za mawasiliano katika mnara uliopo katika Kata za Kikio na Misughaa Mkoa wa Singida.

Kuna muda Mtandao unakuwa haupo inakuwa kero sana, inadaiwa chanzo ni kutokana na mnara huo kutumia Mitambo ya Sola licha ya kuwa nguzo za umeme zipo karibu na mnara.

Inakuwa ni changamoto kipindi cha hali ya mawingu.

Msaada hii taarifa iwafikie wahusika wanatutesa kwa kukosa huduma ya Mtandao na mawasiliano kwa jumla.
Kaka uko Bondeni?
 
Tunaomba Kampuni ya Mawasilano ya TTCL iangalie huduma za mawasiliano katika mnara uliopo katika Kata za Kikio na Misughaa Mkoa wa Singida.

Kuna muda Mtandao unakuwa haupo inakuwa kero sana, inadaiwa chanzo ni kutokana na mnara huo kutumia Mitambo ya Sola licha ya kuwa nguzo za umeme zipo karibu na mnara.

Inakuwa ni changamoto kipindi cha hali ya mawingu.

Msaada hii taarifa iwafikie wahusika wanatutesa kwa kukosa huduma ya Mtandao na mawasiliano kwa jumla.
Kutumia umeme wa solar siyo tatizo, labda kama jua ndo shida..!! Unless otherwise aliye-dimension solar system haku-take into account hali ya mawingu ipoje eneo hilo.
 
Kutumia umeme wa solar siyo tatizo, labda kama jua ndo shida..!! Unless otherwise aliye-dimension solar system haku-take into account hali ya mawingu ipoje eneo hilo.
Apo umenena kaka ,,kungekuwa na solar pannel nyingi ingekua heri.mtu unaamka hamna mtandao yaani signal hamna kabisa ikifika saa tatu kidogo znakuja ila mida ya usiku ndo amna kabisa..alafu nguzo za umeme zipo karibu 🤨🤨
 
Back
Top Bottom