KERO TTCL ina changamoto ya kutuma pesa Mitandao mingine kwa zaidi ya Mwezi

KERO TTCL ina changamoto ya kutuma pesa Mitandao mingine kwa zaidi ya Mwezi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

lugoda12

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
276
Reaction score
574
Hivi hii Kampuni ya TTCL sasa hivi inashida gani? Ni mwezi sasa unaisha huduma za kutuma pesa kwa mitandao mengine haipo. Ukiwapigia simu kitengo cha huduma kwa wateja kupita 100 wanasema wanafanya maboresho...

Swali ni kwamba hayo maboresho gani ambayo hayaishi? Wakati mitandao mingine huwa maboresho yanafanywa kuanzia Usiku Saa 6 mpaka Saa 12 Asubuhi!
download (1).jpeg

===================

JamiiForums imewasiliana na Uongozi wa TTCL kuhusu suala hili, umeahidi kutoa mrejesho kuhusu hoja hiyo ya Mdau.
 
KERO
Hivi hii kampuni ya TTCL sasa hivi inashida gani? Ni mwezi sasa unaisha huduma za kutuma pesa kwa mitandao mengine haipo. Ukiwapigia simu kitengo cha huduma kwa wateja kupita 100 wanasema wanafanya maboresho... Swali ni kwamba hayo maboresho gani ambayo hayaishi? wakati mitandao mingine huwa maboresho yanafanywa kuanzia usiku saa 6 mpaka saa 12 asubuhi!
Wewe wakala au kitu gani ? Hamoa mingine....
 
KERO
Hivi hii kampuni ya TTCL sasa hivi inashida gani? Ni mwezi sasa unaisha huduma za kutuma pesa kwa mitandao mengine haipo. Ukiwapigia simu kitengo cha huduma kwa wateja kupita 100 wanasema wanafanya maboresho... Swali ni kwamba hayo maboresho gani ambayo hayaishi? wakati mitandao mingine huwa maboresho yanafanywa kuanzia usiku saa 6 mpaka saa 12 asubuhi!
Yani makampuni yanayomilikiwa na serikali Afrika effiiciency zero. Waanze kuwa wanatangaza kazi, wakurugenzi wanaomba kazi, wanafanyiwa interview live, na wanapewa mikataba kuwa wataendesha shirika kwa faida bila ruzuku ya serikali na watapokea package za malipo kutokana na utendaji wao kama ilivyo kwa microsoft, apple na google ili kuwapa hamasa.
Haya mambo ya rais kuteua wakurugenzi halafu shirika liko hoi wanafanya kuwahamisha hapa na kule kwa miaka yote hajazaa matunda. TTCL imekuwa hapa miaka nenada miaka rudi, ina miundombinu ila kampuni kama Halotel imekuja na kuwa bora na wateja wengi kuizidi. Hili linawezekanaje?
Hata vocha tu maduka mengi hawauzi na mkurugenzi yupo tu.
 
Serikali haijui kusimamia makampuni yake sio tu TTCL bali hata DART(mwendokasi).
 
Hivi hii Kampuni ya TTCL sasa hivi inashida gani? Ni mwezi sasa unaisha huduma za kutuma pesa kwa mitandao mengine haipo. Ukiwapigia simu kitengo cha huduma kwa wateja kupita 100 wanasema wanafanya maboresho...

Swali ni kwamba hayo maboresho gani ambayo hayaishi? Wakati mitandao mingine huwa maboresho yanafanywa kuanzia Usiku Saa 6 mpaka Saa 12 Asubuhi!
View attachment 3225805
===================

JamiiForums imewasiliana na Uongozi wa TTCL kuhusu suala hili, umeahidi kutoa mrejesho kuhusu hoja hiyo ya Mdau.
Hawajawahi kuwa serious
 
Back
Top Bottom