James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 1,984
- 3,695
Taarifa nyeti za ndanindani ni,izopewa mchana wa leondio kama hivyo navyowaambia TTCL wapo mbioni kushusha bei za vifurushi sababu za uwepo wa waziri mpya bwana Jerry Silaa pamoja na uwepo wa mkurugenzi mpya wa TTCL bwana Marwa wamedokeza kufanya kushusha bei ya vifurushi amabavyo mwanzoni vilipandishishwa kiholela na ndugu Nape ili kukomoa wananchi
Hivyo TTCL ipo mbioni kufanya mabadiko ya vifurushi pia ambapo MB 1 itauzwa kwa gharama ya Tsh 1.5 tu hivyo kitengo cha masoko kimeambiwa kianze kazi mara moja kabla mwezi huu haujaisha
Hivyo TTCL ipo mbioni kufanya mabadiko ya vifurushi pia ambapo MB 1 itauzwa kwa gharama ya Tsh 1.5 tu hivyo kitengo cha masoko kimeambiwa kianze kazi mara moja kabla mwezi huu haujaisha