mfate42
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 4,034
- 4,792
Kwa kweli naandika ujumbe huu nikiwa na hasira kwelikweli..na huu mtandao unaoitwa TTCL,.Leo nimejaribu kuweka pesa kwenye akaunt yangu ya T_pesa..ili nijiunge na kifurushi cha serereka weekly bando..cha tsh.1500/=
Cha kushangaza nimekatwa kwenye akaunti yangu tsh.2500/= na nimepewa kifurushi ambacho sijakiomba..kiukweli nimeumizwa mno na utapeli huu..
Kwa staili hii mjiandae tu kupoteza zaidi ya mlichoniibia..na wateje mtawasikia kwenye bomba..
Laini nishaichoma Moto..2020 ntawasiliana kwa kutumia barua tu...
Cha kushangaza nimekatwa kwenye akaunti yangu tsh.2500/= na nimepewa kifurushi ambacho sijakiomba..kiukweli nimeumizwa mno na utapeli huu..
Kwa staili hii mjiandae tu kupoteza zaidi ya mlichoniibia..na wateje mtawasikia kwenye bomba..
Laini nishaichoma Moto..2020 ntawasiliana kwa kutumia barua tu...