Hahahahahahilo nalo mlikalitazame vizuri.
Kama unatumia halotel...tumia VPN utaingia kwenye social media bure kama JF ,WHATSAPP, TWEET, NK ila kidogo inakuwa slow mm hata sasa sina bando ila nipo JFKifurushi ni bure baada ya kununua.
Nataka kuhama Halotel lakini sijui nahamia wapi, kila sehemu wamekaba mpaka penati mbaya zaidi wanakaba hadi kipa.
Kama unatumia halotel...tumia VPN utaingia kwenye social media bure kama JF ,WHATSAPP, TWEET, NK ila kidogo inakuwa slow mm hata sasa sina bando ila nipo JF
Unajiunga vipi mkuuKama unatumia halotel...tumia VPN utaingia kwenye social media bure kama JF ,WHATSAPP, TWEET, NK ila kidogo inakuwa slow mm hata sasa sina bando ila nipo JF
Unafanyaje mpwa tuinuaneKama unatumia halotel...tumia VPN utaingia kwenye social media bure kama JF ,WHATSAPP, TWEET, NK ila kidogo inakuwa slow mm hata sasa sina bando ila nipo JF
Tumia thunder VPNUnajiunga vipi mkuu
Tumia ....thunder VPNUnafanyaje mpwa tuinuane
Tumia ....thunder VPNVPN gani nzuri,. Na je unafanyaje?
Tumia ....thunder VPNHuu ndo mpango sasa