sembo JF-Expert Member Joined May 25, 2011 Posts 4,350 Reaction score 3,451 Oct 30, 2018 #1 Hahaha.. Hawa Simba ipo siku watasababisha maafa uwanjani.. Eeeh Mola walinde wapinzani wetu.View attachment VID-20181029-WA0028.mp4View attachment VID-20181029-WA0029.mp4
Hahaha.. Hawa Simba ipo siku watasababisha maafa uwanjani.. Eeeh Mola walinde wapinzani wetu.View attachment VID-20181029-WA0028.mp4View attachment VID-20181029-WA0029.mp4
sembo JF-Expert Member Joined May 25, 2011 Posts 4,350 Reaction score 3,451 Oct 30, 2018 Thread starter #2 Hapa Masau Bwire yakamshinda.. Ikabidi acheke tu.View attachment VID-20181029-WA0031.mp4
M MAKULUGA JF-Expert Member Joined Jan 21, 2011 Posts 7,828 Reaction score 10,527 Oct 30, 2018 #3 Mpapaso square!πππππ
Prince az JF-Expert Member Joined Sep 27, 2018 Posts 1,222 Reaction score 1,569 Oct 30, 2018 #4 Simba huwa akicheza mtaa was pili huwa wanshikwa na tumbo la kuharisha msimu ulio pita ulisababisha kiongozi wao apelekwe India kwa matibabu
Simba huwa akicheza mtaa was pili huwa wanshikwa na tumbo la kuharisha msimu ulio pita ulisababisha kiongozi wao apelekwe India kwa matibabu
T Tui JF-Expert Member Joined Jun 2, 2018 Posts 4,698 Reaction score 6,670 Oct 30, 2018 #5 Tena kulikuwa nΓ€ kiongozi mmoja ana mdomo huyo. Ameacha na mambo ya mpira kabisa. Chezea Lunyasi.
1 1954 JF-Expert Member Joined Nov 14, 2006 Posts 11,246 Reaction score 13,722 Oct 30, 2018 #6 sembo said: Hahaha.. Hawa Simba ipo siku watasababisha maafa uwanjani.. Eeeh Mola walinde wapinzani wetu.View attachment 915908View attachment 915910 Click to expand... Pamoja na hayo...nimeanalia clip kuhusu magoli ya Okwi na Salamba...nikashituka, nikashangaa na nikajiuliza mengi...naishia hapa kwa sasa...
sembo said: Hahaha.. Hawa Simba ipo siku watasababisha maafa uwanjani.. Eeeh Mola walinde wapinzani wetu.View attachment 915908View attachment 915910 Click to expand... Pamoja na hayo...nimeanalia clip kuhusu magoli ya Okwi na Salamba...nikashituka, nikashangaa na nikajiuliza mengi...naishia hapa kwa sasa...
sembo JF-Expert Member Joined May 25, 2011 Posts 4,350 Reaction score 3,451 Oct 30, 2018 Thread starter #7 1954 said: Pamoja na hayo...nimeanalia clip kuhusu magoli ya Okwi na Salamba...nikashituka, nikashangaa na nikajiuliza mengi...naishia hapa kwa sasa... Click to expand... Mkuu kwa Simba.. Acha tu.
1954 said: Pamoja na hayo...nimeanalia clip kuhusu magoli ya Okwi na Salamba...nikashituka, nikashangaa na nikajiuliza mengi...naishia hapa kwa sasa... Click to expand... Mkuu kwa Simba.. Acha tu.