Tu Wepesi Wa Kusahau Tulikotoka

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363




Kwenye moja ya safari zangu nilimkuta kijana ( pichani) akitoka shuleni. Kichwani amebeba kifurushi cha unga wa mahindi. Miguuni amevaa makatambuga. Yawezekana kabisa aliambiwa; " Ukitoka shule pitia mashineni". Wengi wetu tumetoka katika mazingira hayo. Na ni wepesi sana wa kusahau tulikotoka.


Hii nyumba inanikumbusha mbali sana jamani wakuu huu Umasikini tuliokuwa nao utaondoka lini jamani? Umasikini wetu jamani ni kama Donda Kuu lisilopona eee jaman Ewe Mwenyeezi Mungu isaidie Nchi yetu tupatie Viongozi wanaowapenda Wanachi wake na kuwahurumia na kuwasaidia Twafa jamaniii Duhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…