Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Bila katiba mpya , hakuna uwezekano wa upinzani wala! ananchi kushinda dhidi ya ccm. Tatizo kubwa katiba ya sasa iliongezewa kipengere cha vyama vingi bila kuvunja vipengere vilivyo kua chini ya chama kimoja.
Mfano, Tume ya uchaguzi ilikua chini ya ccm pamoja na polisi tokea mwanzo walikua watiifu kwa chama cha mapinduzi.
Kwa hiyo mkurugenzi wa halmashauri kutangaza matokeo ya uchaguzi ni sawa na simba kumwona anacheza na nyumbu akiwa ameshiba, lakini akiwa na njaa ndio haya yaliyo tokea Jana kwenye chaguzi za madiwani.
Kwa maana hiii kwa sasa tuachane na magufuli, tudai katiba, hii iwe ndio agenda ya kwanza kwa watanzania wote na vyama vyote vya siasa hasa vyama vya upinzani.
Bila katiba mpya hakuna chama kitakacho shinda , wakiamua wanaweza shinda asilimia 100 kama walivyo Fanya Zanzibar.
Japo Africa ni kawaiada kuipotezea katiba. lakini walau tutakya na tume, mahakama na bunge vilivyo huru...
Katiba hii inaturudisha nyuma hata kimaendeleo, imepunguza utendaji, kwa sababu kila chombo kinasubiri maamuzi ya mqenyekiti wa ccm.
Mungu ibariki Tanzania.
Katiba kwanza , mengine baadae.
Mfano, Tume ya uchaguzi ilikua chini ya ccm pamoja na polisi tokea mwanzo walikua watiifu kwa chama cha mapinduzi.
Kwa hiyo mkurugenzi wa halmashauri kutangaza matokeo ya uchaguzi ni sawa na simba kumwona anacheza na nyumbu akiwa ameshiba, lakini akiwa na njaa ndio haya yaliyo tokea Jana kwenye chaguzi za madiwani.
Kwa maana hiii kwa sasa tuachane na magufuli, tudai katiba, hii iwe ndio agenda ya kwanza kwa watanzania wote na vyama vyote vya siasa hasa vyama vya upinzani.
Bila katiba mpya hakuna chama kitakacho shinda , wakiamua wanaweza shinda asilimia 100 kama walivyo Fanya Zanzibar.
Japo Africa ni kawaiada kuipotezea katiba. lakini walau tutakya na tume, mahakama na bunge vilivyo huru...
Katiba hii inaturudisha nyuma hata kimaendeleo, imepunguza utendaji, kwa sababu kila chombo kinasubiri maamuzi ya mqenyekiti wa ccm.
Mungu ibariki Tanzania.
Katiba kwanza , mengine baadae.