Tuache kutumia hili neno 'mkuu' linatukosesha warembo

Tuache kutumia hili neno 'mkuu' linatukosesha warembo

"Nakupenda sana mkuu"
Mkuu hii ni zaidi ya hatari asee.Ila zoea tu mkuu maana hili neno japo limekaa kihenga au kizee hatuna jinsi....
 
Mwanaume rijali unaanzaje kulitumia labda?
 
Mkuu ndio jina pekee lisilo na pingamizi na jinsia yoyote,unaweza seama brother fulan kumbe unayechat nae ni mdada,ila mkiingia pm alafu ukaendelea kutumia mkuu nawewe utakuwa una matatizo
 
Back
Top Bottom