Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,074
Nije moja kwa moja kwenye point ni hv kwa kuwa neno MKUU limezoeleka sana hapa Jf sasa unajikuta unatumia pia ktk kutongoza na kuonekana huna swaga kabisa "Nakupenda sana mkuu'[emoji3][emoji3]