Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
Moja ya sababu kushinda Jambo lolote lile ni kukubali uhalisia wake.
Huwezi kushinda Jambo fulani bila kukubali uhalisia wake, bila kujua pande zote za shilingi na hii inatutesa sana nchi zetu hizi ambazo serikali inacontrol kila kitu.
Kulikua na habari leo katika vyombo vikubwa vya habari Kama Reuters, Bloomberg, bbc n.k kuhusu watu waliokufa baada ya kuchanjwa chanjo ya corona.
Hii habari Millard Ayo nae akai-report mchana, lakini sasa ameitoa hiyo habari kwa kuonekana kama anarudisha nyuma jitihada za watu kuchanjwa.
Cha kushangaza huko kwa wenzetu ambao ndio wanatengeneza hizo chanjo, vyombo vyao vya habari bado hiyo habari ipo.
Na Wala hakuna anayehangaika kutafuta vyombo vya habari wanaoreport madhara ya chanjo.
Huku kwetu kwa kujifanya tunajua sana corona na kujua sana hii chanjo tunapiga marufuku habari ambazo zinaonyesha kuna madhara.
Tuache siasa, tukubali habari yoyote. Ikiwa njema waacheni watu wareport na ikiwa mbaya waacheni pia watu wareport.
Tunataka kuficha habari mbaya ili tufaidike nini?
Huwezi kushinda Jambo fulani bila kukubali uhalisia wake, bila kujua pande zote za shilingi na hii inatutesa sana nchi zetu hizi ambazo serikali inacontrol kila kitu.
Kulikua na habari leo katika vyombo vikubwa vya habari Kama Reuters, Bloomberg, bbc n.k kuhusu watu waliokufa baada ya kuchanjwa chanjo ya corona.
Hii habari Millard Ayo nae akai-report mchana, lakini sasa ameitoa hiyo habari kwa kuonekana kama anarudisha nyuma jitihada za watu kuchanjwa.
Cha kushangaza huko kwa wenzetu ambao ndio wanatengeneza hizo chanjo, vyombo vyao vya habari bado hiyo habari ipo.
Na Wala hakuna anayehangaika kutafuta vyombo vya habari wanaoreport madhara ya chanjo.
Huku kwetu kwa kujifanya tunajua sana corona na kujua sana hii chanjo tunapiga marufuku habari ambazo zinaonyesha kuna madhara.
Tuache siasa, tukubali habari yoyote. Ikiwa njema waacheni watu wareport na ikiwa mbaya waacheni pia watu wareport.
Tunataka kuficha habari mbaya ili tufaidike nini?