Geffy
Senior Member
- Feb 10, 2012
- 129
- 92
Habari ndugu, inabidi Tanzania tufike sehemu tuache longolongo kwenye swala zima la michezo, kila siku tunasikia kauli hizi zinazokera na kuchosha masikio ya watanzania wengi "Msimu huu Tanzania tumejiandaa vya kutosha ili kuleta ushindani".
Lakini kila tunapowakilishwa katika mashindano tofauti tofauti tunakiwa kichwa cha mwendawazimu....
Tukirudi nyumbani baada ya kuzaliloshwa katika michezo hiyo pia huwa tunakuwa na kauliz nyingine inayokera " Michezo ina matokeo matatu, kushinda, kishindwa na suluhu" Kauli inayonikera kuliko zote ni hiyo.
Inakera kuona hakuna la maana, hakuna muendelezo katika michezo na kuleta masihara katika kila jambo.
.... TANZANIA TUBADILIKE....
Lakini kila tunapowakilishwa katika mashindano tofauti tofauti tunakiwa kichwa cha mwendawazimu....
Tukirudi nyumbani baada ya kuzaliloshwa katika michezo hiyo pia huwa tunakuwa na kauliz nyingine inayokera " Michezo ina matokeo matatu, kushinda, kishindwa na suluhu" Kauli inayonikera kuliko zote ni hiyo.
Inakera kuona hakuna la maana, hakuna muendelezo katika michezo na kuleta masihara katika kila jambo.
.... TANZANIA TUBADILIKE....