Kuna watu huwa mnajimilikisha ushabiki wa timu na kuzuia wengine!! Tangu lini 1979 akwa shabiki wa Yanga?Shabiki wa majini fc unajifanya shabiki wa Simba [emoji848] tunachotaka sisi ni kushinda sio timu imecheza vizuri au vibaya hilo lenu la majini ni huruma za refa tuu zinawaokoa msihadhirike
Tulia jini😂Unadhani Watakuelewa Hawa Ngada FC/Mbumbumbu FC/ Kolopwinho FC/ Wamatopeni FC.
Sasa mbona yanga anajibondea au hizo timu zikicheza na yanga hazitaki point tatu?Wachezaji kwa sasa utimamu wa mwili umeongezeka mechi tunashinda icho ndio muhimu
Ukumbuke unacheza na timu zinazojiandaa na kutaka point 3 pia ni Timu za ligi kuu sio umiseta.
Max yupi mkuu huyu huyu aliyebakiza kuchomeka ..em nikae kimya kagera sugar wasije wakaliamshaKama Azam Tu Amefika Golini Kwa Simba Zaidi Ya Mara 20 Sema Akina Dube Na Wenzie Hawakuwa Makini.
Ila Kwa Pacome, Max Zengeli, Mzize, Azizi Ki & Musonda Hawakukosi.
Tunawasubiri Sana Tena Wakubaliwe Ule Uwanja Wa Amani Zanzibar Complex Ili Tuwanyooshe Vizuri.
PAPATUPAPATU SPORTS CLUB....Nimeangalia mpira leo na JKT hadi natamani kuivunja TV yangu kuwavaa wachezaji na Benchika mwenyewe.
Kiwango ni kibovu sana, niliona tangu Kigoma, Tabora, Mwanza na leo pale jeshini mimi kama mdau wa Simba sifurahishwi kabisa na kiwango.
Fabrice Ngoma akicheza namba 6 timu inapooza sana, wakicheza kwa pamoja Ngoma, Kanoute na Babacar au Babacar, Kanoute na Mzamiru timu inacheza kwa slow mno.
Sijajua kwanini Benchika anapenda kuanza na Kanoute, Ngoma na Babacar kwa pamoja.
Uchezaji wao uko slow sana ndio maana mipira mingi haifiki mbele kwa wakati.
Simba sasa hivi tegemeo letu ni Kibu Dennis.Yeye ndiyo anaonekana kama mchezaji wa kigeni vile.
Kama sio makosa ya Geita na Leo wale JKT kupitia Ismail Kada gemu zote zilikuwa sare ya 1 - 1.
Sioni mabadiliko yoyote ya kiufundi kwa Benchika.
Kwamba eti Simba imecheza mechi 6 kwa siku 15 kwahiyo kuna fatigue sikubaliani na hoja hiyo.
Halafu kama Onana mmemuondoa kwenye ligi ya bongo na kumbakisha kwenye ligi ya mabingwa mseme pia, sio dhambi.
But all in all, mipango ya Yanga ni kuhakikisha mechi 3 tu mnadondosha points ili watangaze ubingwa.Kila kitu kwao kimekaa sawa.Washajua mechi zipi Simba hamtoboi na zipi mnatoboa.
Wanawaendesha viongozi wetu kama remote control.
Uko sahihi, nadhan hata Kocha wetu Bado hajapata pattern nzuri , sjui kwann anakosa Iman kwa wachezaji wengine kama Chasambi, Miqusson ,af kila Mechi naendelea kuwa na Iman na Saido hata kama Mchango wake umepungua.Nimeangalia mpira leo na JKT hadi natamani kuivunja TV yangu kuwavaa wachezaji na Benchika mwenyewe.
Kiwango ni kibovu sana, niliona tangu Kigoma, Tabora, Mwanza na leo pale jeshini mimi kama mdau wa Simba sifurahishwi kabisa na kiwango.
Fabrice Ngoma akicheza namba 6 timu inapooza sana, wakicheza kwa pamoja Ngoma, Kanoute na Babacar au Babacar, Kanoute na Mzamiru timu inacheza kwa slow mno.
Sijajua kwanini Benchika anapenda kuanza na Kanoute, Ngoma na Babacar kwa pamoja.
Uchezaji wao uko slow sana ndio maana mipira mingi haifiki mbele kwa wakati.
Simba sasa hivi tegemeo letu ni Kibu Dennis.Yeye ndiyo anaonekana kama mchezaji wa kigeni vile.
Kama sio makosa ya Geita na Leo wale JKT kupitia Ismail Kada gemu zote zilikuwa sare ya 1 - 1.
Sioni mabadiliko yoyote ya kiufundi kwa Benchika.
Kwamba eti Simba imecheza mechi 6 kwa siku 15 kwahiyo kuna fatigue sikubaliani na hoja hiyo.
Halafu kama Onana mmemuondoa kwenye ligi ya bongo na kumbakisha kwenye ligi ya mabingwa mseme pia, sio dhambi.
But all in all, mipango ya Yanga ni kuhakikisha mechi 3 tu mnadondosha points ili watangaze ubingwa.Kila kitu kwao kimekaa sawa.Washajua mechi zipi Simba hamtoboi na zipi mnatoboa.
Wanawaendesha viongozi wetu kama remote control.
Mpira ndio ulivyo Mkuu Tabora alifungwa moja bila na yanga ila simba akashinda 4 kwaiyo si kila mda mambo yafananeSasa mbona yanga anajibondea au hizo timu zikicheza na yanga hazitaki point tatu?