Tuache unafiki kwenye soka. Yanga wanacheza mpira wa kiwango cha Barcelona, Man city

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Kama wewe ni mdau wa soka na sio shabiki wa mipira basi utaniunga mkono kwa hili. Mpira wanaocheza yanga unatisha.

Imagine aneyeingia sub ni Moto kuliko anayetoka (kitaa tunaeema "linatoka jini ......linaingia jini" kwamba hakuna ambaye mdhaifu.

Ikumbukwe ni hii Dodoma jiji aliyocheza na SIMBA

Angalia ball possession kati ya WANANCHI na Dodoma jiji[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji113]
View attachment 2064358
 
.
 
👆👆👆👆👆😝😝😝😝😝
 
Ebu acheni utani jamani. Yaani unataka kusema man city hii ya pep ni sawa na utopolo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] u on drugs mate[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu.....Kama uliangalia mpira .....utakubaliana na Mimi......Kama hujaangalia basi nakuomba angalia marudio yake


Zinapigwa hadi pass 1000/sc
 
Ndio shida za mtu upo bar umekunywa pombe za kununuliwa, unawaka kidogo unakurupuka kuanzisha thread.
YANGA wanapiga hadi pass penyezi ( pass ambazo zinakufuata ulipo upande to upande)
 
Mkuu.....Kama uliangalia mpira .....utakubaliana na Mimi......Kama hujaangalia basi nakuomba angalia marudio yake

Zinapigwa hadi pass 1000/sc
Bwana ata mpige pass 2000 huwezi compare yanga na man city ya pep. Ule mziki mwengine kabisa.
 
Kwakweli nawapongeza sana Uto watani zetu.
mnaonyesha kuimarika kila angle,japo wachezaji wa Dodoma wameonyesha kama wamechoka sana au awakula chakula jana na leo sijui ni misumari au ni mchongo.

ila yote kwa yote huu ndo mwaka wenu wa kubeba ubingwa mkijikwaa msimu huu sahauni ubingwa mabwege nyinyi[emoji23][emoji23](jockes)
 
Hapana mkuu.......SIMBA msikate tamaa mapema.....bado mna muda .....endeleeni kupambana[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…