TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Wanabodi napenda kuwashirikisheni katika suala au kero ya udhaifu wa serikali hii katika kukuza uchumi wa taifa.
1.Nimefuatilia vyuo vikuu vingi na kugundua zaidi ya wanachuo 3000 hawajapatiwa mikopo yao tangu vyuo vilipofunguliwa septemba/octoba 2012[hawa ni wale wenye mikopo tangu zamani].
2.Familia nyingi zinakosa milo miwili kwasiku si mitatu tena kama ilivyozoeleka
3.Sekta nyingi hazijaingiziwa fedha stahiki kama ilivyopangwa kwenye National budget na kupitishwa na Bunge[rejea taarifa za kamati za zinazo endelea].
4.Huduma za jamii zinazidi kudorora[chakula bei juu,maji shida,wanafunzi wengi shuleni ni watoro nk.]
5.Utegemezi wa wahisani[Donnor dependence]unakuwa kwa kasi pengine kuliko kipindi chochote kile tangu tupate uhuru wa bendera mwaka 1961[rejea ziara zote za Rais alizofanya tangu aingie madarakani].
6.Mpango wa kilimo kwanza unazungumzwa na kuthaminishwa kwa petty bourgeoisie[mabepari] si kwa lumpens[wakulima wadogo-rejea yaliyotokea dumila leo].
7.Rushwa inaongezeka kwa kasi na hivyo maadili katika jamii hasa wataalam[profesional ethics]yanashuka ama kupotea kwa kasi.
8.Kutoweka kwa uwazi katika uongozi au utawala[lack of transparance-rejea orders za wabunge,madiwani na wajumbe wa kamati za ccm wanazotoa kwa wakurugenzi katika kuwashughulikia watumishi wanaonekana hawako kambi moja hasa kada dhaifu na waoga ya walimu ref,sumbawanga,mwanza,lushoto-tanga nk]
Sasa kwa mujibu wa Karl Max"mwanafalsafa katika mabadiliko ya kijamii" mimi binafsi naona nilazima sacrifice itokee kwenye jamii ndio equality[usawa], sereosness[umakini katika utekelezaji], transparance [uwazi-jiulize je kuna taarifa iliyoshiba juu ya mauaji ya Arusha,morogoro, Iringa, Singida,dar,tarime,songea nk? Je kunataarifa ya kushiba juu ya mateso yaliyompata Dr.Ulimboka?
Nashauri bunge ndilo liwe la kwanza kusacrifice,MATHALANI,BUNGE LIWE NA UTARATIBU WA KUPITISHA BUDGET KWA UMAKINI ZAIDI BADALA YA MAIGIZO YA MAZOEA.
1.Nimefuatilia vyuo vikuu vingi na kugundua zaidi ya wanachuo 3000 hawajapatiwa mikopo yao tangu vyuo vilipofunguliwa septemba/octoba 2012[hawa ni wale wenye mikopo tangu zamani].
2.Familia nyingi zinakosa milo miwili kwasiku si mitatu tena kama ilivyozoeleka
3.Sekta nyingi hazijaingiziwa fedha stahiki kama ilivyopangwa kwenye National budget na kupitishwa na Bunge[rejea taarifa za kamati za zinazo endelea].
4.Huduma za jamii zinazidi kudorora[chakula bei juu,maji shida,wanafunzi wengi shuleni ni watoro nk.]
5.Utegemezi wa wahisani[Donnor dependence]unakuwa kwa kasi pengine kuliko kipindi chochote kile tangu tupate uhuru wa bendera mwaka 1961[rejea ziara zote za Rais alizofanya tangu aingie madarakani].
6.Mpango wa kilimo kwanza unazungumzwa na kuthaminishwa kwa petty bourgeoisie[mabepari] si kwa lumpens[wakulima wadogo-rejea yaliyotokea dumila leo].
7.Rushwa inaongezeka kwa kasi na hivyo maadili katika jamii hasa wataalam[profesional ethics]yanashuka ama kupotea kwa kasi.
8.Kutoweka kwa uwazi katika uongozi au utawala[lack of transparance-rejea orders za wabunge,madiwani na wajumbe wa kamati za ccm wanazotoa kwa wakurugenzi katika kuwashughulikia watumishi wanaonekana hawako kambi moja hasa kada dhaifu na waoga ya walimu ref,sumbawanga,mwanza,lushoto-tanga nk]
Sasa kwa mujibu wa Karl Max"mwanafalsafa katika mabadiliko ya kijamii" mimi binafsi naona nilazima sacrifice itokee kwenye jamii ndio equality[usawa], sereosness[umakini katika utekelezaji], transparance [uwazi-jiulize je kuna taarifa iliyoshiba juu ya mauaji ya Arusha,morogoro, Iringa, Singida,dar,tarime,songea nk? Je kunataarifa ya kushiba juu ya mateso yaliyompata Dr.Ulimboka?
Nashauri bunge ndilo liwe la kwanza kusacrifice,MATHALANI,BUNGE LIWE NA UTARATIBU WA KUPITISHA BUDGET KWA UMAKINI ZAIDI BADALA YA MAIGIZO YA MAZOEA.