Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Kapombe asiachwe Stars kwani yeye ni nani, akiwepo tutashinda? Hakuna mabeki nchi hii wanaoweza kucheza nafasi yake, yuko Kibwana yuko Job shida ni nini? Kapombe ni beki mzuri lakini ameniudhi kukosa penati na Wydad Casablanca halafu hakuonesha kujutia.
Pia Kapombe ana pancha, leo tunamtegemea Kapombe akiumia mnaanza kulakamika lalamika kuwa nchi haikuandaa mtu wa kushika nafasi yake, hata Israel Mwenda ni beki mzuri tu na anaweza kuimudu nafasi yake sema haaminiki sana kwenye timu yetu, kucheza kwake hadi Kapombe aumie.
Kapombe aachwe tu, kwanza sisi tuna michuano ya Super League, mwacheni apumzike akusanye nguvu.
Pia Kapombe ana pancha, leo tunamtegemea Kapombe akiumia mnaanza kulakamika lalamika kuwa nchi haikuandaa mtu wa kushika nafasi yake, hata Israel Mwenda ni beki mzuri tu na anaweza kuimudu nafasi yake sema haaminiki sana kwenye timu yetu, kucheza kwake hadi Kapombe aumie.
Kapombe aachwe tu, kwanza sisi tuna michuano ya Super League, mwacheni apumzike akusanye nguvu.