Wazee hawang’oki kirahisi sababu wanajiongezeaga miaka ya kudumu kwenye ac na mishahara 😅 huku vijana mkitakiwa mkajiajiri!Na wakifanikiwa kuwaonyofoa wazee pale TTCL basi wawanyofoe na wazee waliopo BOT wale ndo kikwazo PAYPAL ifeli hapa nchini.
Hahahahahah sasa ushahidi wa kazi gani wakati wao ndio wanaona wameanzisha shirika😅Weka ushahidi, vinginevyo naenda kununua vitafunwa[emoji1]
Wanafanya makusudi ili makampuni binafsi wachanue, same applies kwa ATCL, TRC nk.
Nilitaka nikasajili laini yao sasa umenikatisha tamaa mazimaKwa kweli mimi nimeinua mikono kwa internet ya TTCL. Ni internet ya hovyo sijawahi kuona.
Kuna mtu aliwahi kuandika humu kwamba mshikaji wake anaishi Tabata, anatumia mtandao wa TTCL, akilalia ubavu wa kulia anapata mtandao ila akibadilisha akalala ubavu aa kushoto ama akalala chali hakuna mtandao watu tukafikiri utani, mimi sasa nimeamini.
January mwaka huu nilipewa simu ya ofisi na line TTCL ili kurahisisha shughuli za ofisi, kila mwezi wanaweka salio kubwa tu la kufanyia mawasiliano.
Toka nimeanza kutumia hii laini hasa upande wa internet ni majanga, na mbaya zaidi ofisi zetu ziko mjini city centre lakini TTCL internet yake ni hovyo sijawahi kuona. Unaweza kukaa nusu saa au zaidi haipo kabisa, ila ikija dakika 2 inakuja kwa spidi kali sana kisha inatoweka nusu saa tena.
Muda mwingi mtandao wa TTCL haupatikani. Wakati mwingine natumia simu yangu nyingine kuweka hotpot kuunganisha na hii simu yenye laini ya TTCL ili niwe hewani niendelee kufanya mambo yangu wakati TTCL nina ma GB ya kutosha mengi sana.
TTCL wakileta ile option ya kuhamisha salio la kawaida kwenda mtandao mwingine, hela itakua ikiingia tu naihamishia mtandao mwingine, huu labda voice calls tu ila internet intakufedhehesha tu.
TTCL kuweni serious na business.
Hii ndio sababu,TTCL kumejaa vilaza watupuKwa kweli mimi nimeinua mikono kwa internet ya TTCL. Ni internet ya hovyo sijawahi kuona.
Kuna mtu aliwahi kuandika humu kwamba mshikaji wake anaishi Tabata, anatumia mtandao wa TTCL, akilalia ubavu wa kulia anapata mtandao ila akibadilisha akalala ubavu aa kushoto ama akalala chali hakuna mtandao watu tukafikiri utani, mimi sasa nimeamini.
January mwaka huu nilipewa simu ya ofisi na line TTCL ili kurahisisha shughuli za ofisi, kila mwezi wanaweka salio kubwa tu la kufanyia mawasiliano.
Toka nimeanza kutumia hii laini hasa upande wa internet ni majanga, na mbaya zaidi ofisi zetu ziko mjini city centre lakini TTCL internet yake ni hovyo sijawahi kuona. Unaweza kukaa nusu saa au zaidi haipo kabisa, ila ikija dakika 2 inakuja kwa spidi kali sana kisha inatoweka nusu saa tena.
Muda mwingi mtandao wa TTCL haupatikani. Wakati mwingine natumia simu yangu nyingine kuweka hotpot kuunganisha na hii simu yenye laini ya TTCL ili niwe hewani niendelee kufanya mambo yangu wakati TTCL nina ma GB ya kutosha mengi sana.
TTCL wakileta ile option ya kuhamisha salio la kawaida kwenda mtandao mwingine, hela itakua ikiingia tu naihamishia mtandao mwingine, huu labda voice calls tu ila internet intakufedhehesha tu.
TTCL kuweni serious na business.
Haisaidii. Nilishatoa serial number mara kadhaa. Sikupata msaada wowote. Hili tatizo linamalizwa lini?? Mpaka nawaza kuondoa kabisa katika mtandao ta TTCL.Pole sana kwa changamoto hizo.
Tunaomba namba yako inbox na serial namba za vocha ulizokwangua vibaya ili tufuatilie na kutatua tafadhali.
Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza
Tuma namba wewe kama hutaki nipe vocha hiyo niende ofisini kwao nikamalizane naoHaisaidii. Nilishatoa serial number mara kadhaa. Sikupata msaada wowote. Hili tatizo linamalizwa lini?? Mpaka nawaza kuondoa kabisa katika mtandao ta TTCL.
TTCL sihami na mitandao mingine internet hawanipati tena. Tangu nipate hiki kidubwasha maisha yamekuwa rahisi sana kuanzia nyumbani hadi ofisini!
View attachment 1965107
TTCL ni takataka, nadhani kuna watu wanao aibu kufanya Kari TTCL
Ohoo! Dogo, tuombe radhi tafadhali! Tutatema laana sasa hivi!!
[emoji16][emoji16][emoji16]Tigo kwa hapa Dodoma ndio mtandao wa hovyo kabisa hapa duniani
Halafu unaambiwa wao ndio wanawauzia wengine Internet kutoka mkongo wa taifaKwa kweli mimi nimeinua mikono kwa internet ya TTCL. Ni internet ya hovyo sijawahi kuona.
Kuna mtu aliwahi kuandika humu kwamba mshikaji wake anaishi Tabata, anatumia mtandao wa TTCL, akilalia ubavu wa kulia anapata mtandao ila akibadilisha akalala ubavu aa kushoto ama akalala chali hakuna mtandao watu tukafikiri utani, mimi sasa nimeamini.
January mwaka huu nilipewa simu ya ofisi na line TTCL ili kurahisisha shughuli za ofisi, kila mwezi wanaweka salio kubwa tu la kufanyia mawasiliano.
Toka nimeanza kutumia hii laini hasa upande wa internet ni majanga, na mbaya zaidi ofisi zetu ziko mjini city centre lakini TTCL internet yake ni hovyo sijawahi kuona. Unaweza kukaa nusu saa au zaidi haipo kabisa, ila ikija dakika 2 inakuja kwa spidi kali sana kisha inatoweka nusu saa tena.
Muda mwingi mtandao wa TTCL haupatikani. Wakati mwingine natumia simu yangu nyingine kuweka hotpot kuunganisha na hii simu yenye laini ya TTCL ili niwe hewani niendelee kufanya mambo yangu wakati TTCL nina ma GB ya kutosha mengi sana.
TTCL wakileta ile option ya kuhamisha salio la kawaida kwenda mtandao mwingine, hela itakua ikiingia tu naihamishia mtandao mwingine, huu labda voice calls tu ila internet intakufedhehesha tu.
TTCL kuweni serious na business.
Chukua hltlNilikuwa nawaza nichukue kati ya halotell na ttcl... naona nyumba imeungua moto
Dodoma tumia hollotel hutojuta.... OvaTigo kwa hapa Dodoma ndio mtandao wa hovyo kabisa hapa duniani