Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Wanasayansi wana wajibu mkubwa katika kulinda Afya ya Jamii.
Wajibu mkubwa zaidi ni madaktari walio wizara ya Afya.
Kujifukiza ni hatua moja tu katika kupambana na gonjwa hili baya la covid19.
Sasa ni wakati wa kuacha utani, wananchi tunataka chanjo!
Kenya wamepata
Uganda wameoata
Rwanda wamepata.
Ina maana wanasayansi wao wako tofauti?
Tupate chanjo bana!
Smart Kagame getting a covid19 vaccine jab.
Ssis maprofesa uchwara bila research wanaendelea kupinga vaccine.
Wajibu mkubwa zaidi ni madaktari walio wizara ya Afya.
Kujifukiza ni hatua moja tu katika kupambana na gonjwa hili baya la covid19.
Sasa ni wakati wa kuacha utani, wananchi tunataka chanjo!
Kenya wamepata
Uganda wameoata
Rwanda wamepata.
Ina maana wanasayansi wao wako tofauti?
Tupate chanjo bana!
Smart Kagame getting a covid19 vaccine jab.
Ssis maprofesa uchwara bila research wanaendelea kupinga vaccine.