Lyaka Mlima Jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2020
- 361
- 521
Kanda ya ziwa ni ya Magufuli Mwanza, Shinyanga, Kagera, Mara na Tabora na Simiyu.
Membe anachukua mikoa ya kusini ya walima korosho Lindi, Ruvuma, Mtwara, kwa msaada na nguvu ya Zitto Kabwe Membe atainyakua Kigoma.
Chadema watajitoa ktk kusimamisha mgombea, hivyo Membe ataichukua Kilimanjaro, Arusha kwa msaada wa Mbowe.
Kwa pemba , Tanga na unguja Maalim Seifu atamaliza game mapema kumsaidia Membe .
Kete kubwa itakuwa kuwin kura za Mbeya, Iringa, Morogoro, Singida, Dsm , Pwani, Rukwa, Katavi hizi ni kanda huru kwa kila mgombea.
Point of debate itakuwa suala la ajira kwa vijana wa chuo kikuu na wakulima wa mazao ya biashara.
Upande mwingine utanadi miradi yake.
Note. Udini, ukanda na ukabila kwa sasa ni jambo la kawaida
Membe anachukua mikoa ya kusini ya walima korosho Lindi, Ruvuma, Mtwara, kwa msaada na nguvu ya Zitto Kabwe Membe atainyakua Kigoma.
Chadema watajitoa ktk kusimamisha mgombea, hivyo Membe ataichukua Kilimanjaro, Arusha kwa msaada wa Mbowe.
Kwa pemba , Tanga na unguja Maalim Seifu atamaliza game mapema kumsaidia Membe .
Kete kubwa itakuwa kuwin kura za Mbeya, Iringa, Morogoro, Singida, Dsm , Pwani, Rukwa, Katavi hizi ni kanda huru kwa kila mgombea.
Point of debate itakuwa suala la ajira kwa vijana wa chuo kikuu na wakulima wa mazao ya biashara.
Upande mwingine utanadi miradi yake.
Note. Udini, ukanda na ukabila kwa sasa ni jambo la kawaida