The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Hongerah usiache kwani kurudia kazi. Kwa kweli hongerah zao!Wakuu habari ya muda huu,
Kusema kweli nieape tu pongezi wote wenye six packs au flat belly kwa jitihada zao.Usione mtu ana six packs ukamchukulia poa ukadhani zinaokotwa ti barabarani au zinapatikana kwa urahisi.
Nimeanza mazoezi hii wiki ya pili mazoezi ya kipunguza tumbo baada ya kuona linaanza dalili za ukitambi ukitambi, aisee asikwambie mtu hapa natamani hata kuacha mazoezi, misuli yote ya tumbo inauma vibaya sana.
Kwa kweli heshima kwenu wenye six packs, kupata six packs au tumbo flat hasa kama una kitambi sio kazi lele mama, unahitaji kujitoa dhabihu(sacrifice).
Wakuu nitakieni heri nisike ishia njiani na haya mazoezi + kutokula.
Kitambi ni ugonjwa mkuu, mwanaume ukiwa na kitambi unakua shapeless, mbaya zaidi uwe mfupi unakua kama kichuguu.Aisee kwa jinsi nilivyo kimbau mbau natamani kuwa na kitambi balaa, labda dharau hapa mjini kwa sababu ya haka ka mwili zitapungua.
Kitambi kinaleta heshima sana mjini hapa
Mkuu kwa kweli sio jambo la kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa, lazima ugangamale brother.Mbona unanikatisha tamaa asee mi nataka nilianzishe wasije wakanisaidia kiburudisho changu maana hapa nilipo nina 1pack ya balaa
Mambo ya kizamani hayo yanapitwa na wakati, kitambi ni ugonjwa.Kwa afrika mwenye kitambi ana heshima na kuaminika tofauti na watu wa saizi ya GB 1.
Fanya mazoezi kwa afya sio kwa show off!
Shukrani mkuu, niongezee maujanja kiongozi.Hongera Sana mkubwa. Ilinichukua miezi sita ku fikia Hatua hii.
Ningependa ku sisitiza uwe na diet plan. Sababu Kama unafanya mazoezi na kuendelea na nyama choma bia uta strangle tu na labda usitoe Hata hicho kitambi.
Kingine ule vyakula vyenye protein Sana. Mi nilikuwa kilo 70 sasa kilo 57.
Nadhani mwanamke au mwanaume anapendeza bila kitambi . Na kitambi ni ugonjwa.
Adante mkuu.Hongerah usiache kwani kurudia kazi. Kwa kweli hongerah zao!
Subiri niipate nikutafte, hahahaaaa.Mie ndi ugonjwa wangu huo
Ok, hebu niambie nini cha kufanya.mkuu diet ndo kitu cha muhimu kabisa katika kujenga six pack,usipozingatia diet utajikuta mwisho wa siku kidume umevimba makalio au hipsi kama unajijua unashindia big g na maji bora ukaachana na hiyo kitu ya kutaka six pack mwisho wa siku unakosa hizo six pack unapata seven pack yaan umbo kama la nyoka halina mbele wala nyuma...
Aisee kwa jinsi nilivyo kimbau mbau natamani kuwa na kitambi balaa, labda dharau hapa mjini kwa sababu ya haka ka mwili zitapungua.
Kitambi kinaleta heshima sana mjini hapa
Siku hizi kuna shortcutHongera Sana mkubwa. Ilinichukua miezi sita ku fikia Hatua hii.
Ningependa ku sisitiza uwe na diet plan. Sababu Kama unafanya mazoezi na kuendelea na nyama choma bia uta strangle tu na labda usitoe Hata hicho kitambi.
Kingine ule vyakula vyenye protein Sana. Mi nilikuwa kilo 70 sasa kilo 57.
Nadhani mwanamke au mwanaume anapendeza bila kitambi . Na kitambi ni ugonjwa.