Tuache wivu, kama nawe unataka wakakutangaze kwenye jezi kaweke mzigo

Tuache wivu, kama nawe unataka wakakutangaze kwenye jezi kaweke mzigo

Wakusolve

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2020
Posts
274
Reaction score
254
Habari wanajamvi ni kianza kwenye mada kuna kitu kina udhi sana unakuta shabiki analalamika sijui jezi ya simba imejaa matangazo hivi ujui.

Mo pia pale anafanya biashara, timu kabla Mo ilikuwa ifanyi vizuri Mo kaweka mzigo sasa tunaona simba inapiga kweli mpira biriani.

Tuache wivu kama nawe unataka wakakutangaze kwenye jezi kaweke mzigo.

#SIMBA
#NGUVU MOJA#NEXT LEVEL
 
Mleta mada wewe ni ke au me? Kama ni me halafu unaandika "huzi" badala ya "udhi" nakuwa na mashaka na usalama wa marinda yako.
 
Mleta mada wewe ni ke au me? Kama ni me halafu unaandika "huzi" badala ya "udhi" nakuwa na mashaka na usalama wa marinda yako.
Kwani mkuu kuna pesa unaipata humu jamii forum hayo ni makosa ya kawaida
 
Back
Top Bottom