Lakini mbona huko Mwanza kumezuka mambo ya kitapelitapeli sana enzi hizi?
Namkumbuka yule Bashite na elimu yake
Sasa kuna huyu Gwaji, kumbe na yeye ni kihiyo.
Kuna akina Shigongo, Msukuma; na PhD za maganda ya korosho?...
Tena wote wanajitokeza ghafla karibu kwa wakati mmoja!