Tuacheni utani, Gaza imechakazwa

Tuacheni utani, Gaza imechakazwa

Ziroseventytwo

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
8,581
Reaction score
15,618
Nimeona na kusikia mpango wa mazungumzo ya kuachiwa kwa mateka wanne wa israel wanaoshikiliwa na Hamas. Nimeshangaa sana.

1. Hamas wanafanya njni na hawa watu ambao hawana maana yoyote kwao? Na kuendelea kuwa shikilia ni kuendelea kujiweka katika mazingira hatarishi ya kushambuliwa na hata kusababisha vifo.

2. Israel imeuwa maelfu ya watu wa palestina wengi wakiwa ni watoto na wamama. Kuna sababu gani ya kuendelea kushikilia watu wa4? wamalize kazi angalao kuongeza hasara kwa israel.

3. Mji wa Gaza kwa sasa umekuwa magofu baada ya israel kubomoa 95% ya majengo yote yaliyopo kule gaza. Hii inanikumbusha mji wa Aleppo uliopo kule syria ulivyoaribiwa na majeshi ya serekali wakati wakipambana na makundi ya kigaidi ya isis.

3. Mji wa Gaza umechakazwa vibaya mno. Itachukuwa muda mrefu sana kuja kuujenga tena.
 
Miez zaidi ya 9 sasa israel ametumia zaid ya mabilion ya dollar lakn hakuna alichofanikiwa zaid ya kuua watoto, hadi sasa kwaio zaid ya mateka 100 ndo wamefanikiwa kuwaokoa wanne
 
Miez zaidi ya 9 sasa israel ametumia zaid ya mabilion ya dollar lakn hakuna alichofanikiwa zaid ya kuua watoto, hadi sasa kwaio zaid ya mateka 100 ndo wamefanikiwa kuwaokoa wanne
Wamalizane nao tu...njugu
 
Miez zaidi ya 9 sasa israel ametumia zaid ya mabilion ya dollar lakn hakuna alichofanikiwa zaid ya kuua watoto, hadi sasa kwaio zaid ya mateka 100 ndo wamefanikiwa kuwaokoa wanne
Hamas oktaba 7 mafanikio yao ilikuwa uharibifu na ndio maana kulikuwa na ringtone kibao za allah akbar na Israel nae kajibu kwa uharibifu ambao kimzani kafanikiwa kuliko kobazi,au nyie ni kama mjusi kwamba akikatwa mkia safari inaendelea?!!
 
Hayajatimia. Galat waziri wa ulinzi wa israel alikuwa na nia ya kuimaliza kabisa Hamas. Kumbe hamas ipo kwenye miyoyo ya watu.
Hivyo ili malengo yatimie ni lazima kuuwa watu wate wa gaza.. kitu ambacho hakwezekani
Wenzako wanauliwa we upo tandare umevimbiwa mahindi unawapa fix watu
 
Miez zaidi ya 9 sasa israel ametumia zaid ya mabilion ya dollar lakn hakuna alichofanikiwa zaid ya kuua watoto, hadi sasa kwaio zaid ya mateka 100 ndo wamefanikiwa kuwaokoa wanne
Hawajafanikiwa. Wewe ni kichaaa
 
Bila kuweka picha hizi ni tuhuma za kichochez dhidi ya Israel
 
Nimeona na kusikia mpango wa mazungumzo ya kuachiwa kwa mateka wanne wa israel wanaoshikiliwa na Hamas. Nimeshangaa sana.

1. Hamas wanafanya njni na hawa watu ambao hawana maana yoyote kwao? Na kuendelea kuwa shikilia ni kuendelea kujiweka katika mazingira hatarishi ya kushambuliwa na hata kusababisha vifo.

2. Israel imeuwa maelfu ya watu wa palestina wengi wakiwa ni watoto na wamama. Kuna sababu gani ya kuendelea kushikilia watu wa4? wamalize kazi angalao kuongeza hasara kwa israel.

3. Mji wa Gaza kwa sasa umekuwa magofu baada ya israel kubomoa 95% ya majengo yote yaliyopo kule gaza. Hii inanikumbusha mji wa Aleppo uliopo kule syria ulivyoaribiwa na majeshi ya serekali wakati wakipambana na makundi ya kigaidi ya isis.

3. Mji wa Gaza umechakazwa vibaya mno. Itachukuwa muda mrefu sana kuja kuujenga tena.
he Washington Institute
8 Nov 2013 · www.washingtoninstitute.org
The Call for Rebellion against Hamas in Gaza


A new movement known as Tamarod Gaza has chosen November 11, the ninth anniversary of the death of PLO leader Yasser Arafat, as a day of mass ...




The Conversation
22 Nov 2023 · https://theconversation.com
Gaza war: how representative is Hamas of ordinary Palestinians?


Hamas rules Gaza with repression and violence and polls show that it does not have the support of ordinary Palestinians.






https://www.google.com/search?sca_e...EHT35CPIQ1QJ6BAgxEAE&biw=412&bih=840&dpr=1.75

YouTube · Kanal13
21.4K+ views · 5 months ago
Palestinians revolt against Hamas in Gaza Strip
 

Attachments

  • 1720142540950.png
    1720142540950.png
    251 bytes · Views: 3
Back
Top Bottom