Tuambiane kuhusu biashara ya Car Wash

Ni biashara nzuri ila ina changamoto zake.

kabla ya yote hakikisha umefanya tafiti ya upatikanaji wa umeme na maji kwenye eneo ulilolenga kufanyia biashara.

Kuna mashine za diesel lakini sio best kama za umeme.

Biashara unataka uifanyie mkoa gani?

Nipo Dar es salaam mkuu
 
Tusipende kukatisha ndoto za watu kwa sababu ya sheria za kiserikali, kiujumla reseni za mariasili ni rafiki sana nenda kwenye ofisi unayotaka kuvuna mbao utapewa kibali kwa kufuata sheria za eneo husika, na ukitaka kuweka ofisi mjini nenda ofisi za wilaya hyo ya mjjni utapata bila shida
 
Nataka nianzishe biashara ya mbao je kwa mtaji wa shilingi milioni 10 unatosha kuanzia? Aliye na uzoefu anijulishe

Inategemea unanataka ufanye wapi mfano kuna njia mbili ya kuifanya hii biashara 1. kuna kwenda kununua mwenyewe mzigo(mafinga na kilolo) na kuleta dukani(timber) kwako 2.kuletewa na kununua jumla

Kuna faida na hasara ya hizi njia mbili mfano ya kwanza inabidi uende uka ununie mzigo mwenyewe sehem tajwa hapo juu kwa kawaida kujaza semi inahitag uwe na million 7-8m kwa maana kwa dar mbao zinazo toka sana ni 2*4 haya bado ishu ya ushuru,vat,tp na wapakiaji roughly uandae laki nane haya bado kusafirisha mfano mfinga to dar ni kama 3-3.5m so hapa inabid uwe na mtaji usio pungua 13m tukija eneo la timber lazima utafute location so kodi japo tegeta kodi zao kwa mwez ni kam 200k mpka 300k ukiachan na kodi kuna ujenzi wa timber na pia unawez wek na mashine ya kuranda so jumla kuu andaa 15m pia somtmes mzigo unaweza ukawa unatembea fasta mfano umebaki robo lazima uwe na akiba kidogo hata 5m ujumlishe na pesa ya mzigo ukachukue mwingine. Pia kweny hii njia ya kwanza unaweza ukabahatik ukapata mchanaji anaye kukopeaha mbao itakuwa nafuu kwako jpo ni nadra

2 ya pili ni kununua jumla jpo hii faida kwa kila mbao huoa 100-500 tokea na aina ya mbao kwasababu unakuwa unanunua jumla japo hii mtaji lazima uwe umechangamka japo pia unaweza pata ma wakala ambao wao huwa wanenda nunu polini nakuja uza jumla mjini wakawa wanakukopesha ukiwa mlipaji mzuri na kwa wakati itakusaidia kwa kawaida huwa unalipia nusu ya bei ya mzigo then ukisha uza mzigo kadhaa unamalizia.

So hapo kazi kwako ili uzuri wa hii biashara upate location ambzo zinajengeka sana kwa swali lolote usisite uliza pia utapel ni mwingi san kweny hii biashara pia na udalali.
 
Nataka nianzishe biashara ya kuosha magari, bajaji, boda boda n.k aina ya CAR WASH ila kabla sijaanza inanibidi nifanye utafiti kuhusu biashara naomba kwaa aliye na uzoefu na hilo aniambie faida na hasara zake.

Na vifaa vinavyohitajika ili isimame hii biashara.
 
Vifaa muhimu
Pressure washer machine
Woover or vacuum cleaner ya kunyonyea uchafu na vumbi
Tank la maji
Vitambaa vya kufutia
Madodoki ya kuoshea
Ndoo
Brush za kusugulia tyre
Sabuni special za kuoshea
Polish and wax
 
Friji, soda, bia, viti, meza, jiko la kuchoma mishikaki, sahani, glasses, etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…