Tuambiane ukweli jamani. Hivi maisha ya ujane au ugane yana uzoefu kweli?

Tuambiane ukweli jamani. Hivi maisha ya ujane au ugane yana uzoefu kweli?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Ni rahisi kuwaona wahusika wakiwa na maisha ya kawaida lakini ni ngumu kujua wanayopitia.

- Upweke

- Ugumu wa ndoa mpya hasa kwa umri mkubwa

- Kumbukumbu/ memories zinazotonesha kidonda
 
Kila aina ya maisha yanazoeleka, hata maisha ya mfungwa yanazoeleka na kuwa kawaida, kila kiumbe limekumbwa kuishi kila aina ya maisha yaliyopo kwenye mazingira yake wakati huo, ingawa mwanzoni na wakati mwingine kumbukumbu za jana zinaleta usumbufu kidogo ila yanawezekana .
 
Kila aina ya maisha yanazoeleka, hata maisha ya mfungwa yanazoeleka na kuwa kawaida, kila kiumbe limekumbwa kuishi kila aina ya maisha yaliyopo kwenye mazingira yake wakati huo, ingawa mwanzoni na wakati mwingine kumbukumbu za jana zinaleta usumbufu kidogo ila yanawezekana .
Mnaongeaga kirahisi rahisi sana, Maisha ya jela yanazoeleka?? Umewahi kufungwa ama una ndugu kafungwa ger3zani ?

Yangekuwa yanazoeleka wafungwa wangekuwa hawalalamiki na jela ingekua sio sehemu inayoogopeka.

kuna hali ya kuzoea maisha kwa kuyavumilia lakini sio kuyazoea
 
Mnaongeaga kirahisi rahisi sana, Maisha ya jela yanazoeleka?? Umewahi kufungwa ama una ndugu kafungwa ger3zani ?

Yangekuwa yanazoeleka wafungwa wangekuwa hawalalamiki na jela ingekua sio sehemu inayoogopeka.

kuna hali ya kuzoea maisha kwa kuyavumilia lakini sio kuyazoea
Bro hata sisi tulipo uraiani tunalalamika, maisha kwa ujumla wake ni magumu, kila aina ya maisha ni magumu, ila yanazieleka na yana ishika, sio mfungwa mtu huru mjane mwenye ndoa asiye nayo wote tunaishi kwa ugumu lakini tumesha zoea na tunaendelea.
 
Back
Top Bottom