Tuambie Changamoto Ulizopitia Hadi Kufika Hapa Ulipo

Tuambie Changamoto Ulizopitia Hadi Kufika Hapa Ulipo

holoholo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
1,859
Reaction score
2,986
Wakuu,
Kila mtu amepitia changamoto mbalimbali tangu ukuaji wake mpaka hapa alipo,

Wengi wetu tumetokea katika familia masikini,changamoto hazikosekani

Pengine sasa hivi wewe ni daktari,nesi,rubani,mwalimu,afsa ktk ofsi flani,au wewe ni mfugaji mkubwa,mkulima, mfanyabiashara na una kazi yeyote inayokuingizia kipato

Tuambie,changamoto gani uliyopitia mpaka kufikia mafanikio hayo? Na ulikabiliana vipi na hizo changamoto mpaka ukatoboa?

Kumbuka, Kadri unapotoa changamoto yako ndio darasa kwa wengine na itawasaidia jinsi ya kukabiliana nazo.

Tiririka.
 
Kwa hio hata kama nilienda mahali nikawekewa Chale nikapata mifwedha nikuambie ? Kuna siri ambazo hata mimi mwenyewe siwezi kujiambia,,, pumbaff
chale ni imani yako kama imani zingine,walokole,waislamu,wasabato, RC hakuna wa kukuzuia na kukukataza mkuu,tuambie nasi tumfuate mganga wako atupge chale za kutosha. Nani asiependa mafanikio?
 
hapa nilipo namshukuru mungu, kutoka family maskini mpaka mimi mwenyewe kuwa tajiri ni jambo la baraka mno maishani mwangu, kazi na mshahara mzuri,nyumba nzuri,gari v8 kutwa ofsini viyoyozi si jambo dogo Ahsante ALLAH.
Umeoa?
Asking for a friend
 
Back
Top Bottom