😁Acha niende kutafuta kwa kiangazi basiukiwa kutafta kwako ni kusubili mvua inyeshe basi wewe hata huyo Mungu atakunyang`anya hata hicho ulichonacho.
We umepata changamoto ipiWakuu
Wewe uko na pesaChangamoto : lack of money
Solution: weka God first pata pesa
We unazo?Wewe uko na pesa
🤣
hapa nilipo namshukuru mungu, kutoka family maskini mpaka mimi mwenyewe kuwa tajiri ni jambo la baraka mno maishani mwangu, kazi na mshahara mzuri,nyumba nzuri,gari v8 kutwa ofsini viyoyozi si jambo dogo Ahsante ALLAH.Kwani umeishi kuteseka TU
chale ni imani yako kama imani zingine,walokole,waislamu,wasabato, RC hakuna wa kukuzuia na kukukataza mkuu,tuambie nasi tumfuate mganga wako atupge chale za kutosha. Nani asiependa mafanikio?Kwa hio hata kama nilienda mahali nikawekewa Chale nikapata mifwedha nikuambie ? Kuna siri ambazo hata mimi mwenyewe siwezi kujiambia,,, pumbaff
Umeoa?hapa nilipo namshukuru mungu, kutoka family maskini mpaka mimi mwenyewe kuwa tajiri ni jambo la baraka mno maishani mwangu, kazi na mshahara mzuri,nyumba nzuri,gari v8 kutwa ofsini viyoyozi si jambo dogo Ahsante ALLAH.
You need someone?hapana sijaoa