Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Huwa anapiga wapi nowadays?Dj ommy crazy
Summer siku hizi kaja na mtindo wake anapiga vi drums dah yule jamaa bwana hapoi yaani.Scratch designer na summer ila d ommy naona kapoa sana
Soon atakujaKwangu Dj DON NALIMISON kutokea pande za jf anabakia kua bora
Follow instaHuwa anapiga wapi nowadays?
Siku hizi yuko wapi? Nilikuwa namwona Governer Kinondoni na kuna kipindi Papii ChuroSummer siku hizi kaja na mtindo wake anapiga vi drums dah yule jamaa bwana hapoi yaani.
Wa huko nyie huwa si mnamuona?
Nadhani atakuwa anapiga sehemu nyingi tu.Siku hizi yuko wapi? Nilikuwa namwona Governer Kinondoni na kuna kipindi Papii Churo
Lakini mkuu uwezo wake Summer unauonaje? Ngoma zipi huwa anapenda kuzipiga?Siku hizi yuko wapi? Nilikuwa namwona Governer Kinondoni na kuna kipindi Papii Churo
Mie huwa sinyorita simuelewi mkuu. Japo binadamu tunatofautiana simaanishi kukupinga..Mie kwangu ni
1.Dj Bon luv
2.Dj Ziro
3.Dj Sinyorita
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
nilichanganya, niliyekuwa namwona ni ommy crazy sio summer.Lakini mkuu uwezo wake Summer unauonaje? Ngoma zipi huwa anapenda kuzipiga?
Huyu nae unampa asilimia ngapi kwa uwezo wake?nilichanganya, niliyekuwa namwona ni ommy crazy sio summer.
Alikuwa anapiga mziki kule juu sisi tunakunywa bia bar ya mtu mwingine chini kwaa 2000 kwa kutumia mziki wake. Badae na papii churo wakaweka bei ya serikali.
Anapiga zile za kuchangamsha halafu kwenye playlist yake haikosekani Hakuna Mungu kama wewe na ule wimbo wa Zabron Singers nadhani unaitwa nimeuona.Huyu nae unampa asilimia ngapi kwa uwezo wake?
Napenda dj anayejua kupiga nyimbo za aina nyingi.
Ni kwikwi aseeh hivi mpaka sasa bado wanapigaga zile kwaito instrumental?Anapiga zile za kuchangamsha halafu kwenye playlist yake haikosekani Hakuna Mungu kama wewe na ule wimbo wa Zabron Singers nadhani unaitwa nimeuona.
Ukiona zinapigwa nyimbo hizo ujue ishafika saa tisa, wa kazini asubuhi mjiandae mwondoke.
Dj wako yuko wapi mzee Smart?Nasoma comments
Dj NinahDj wako yuko wapi mzee Smart?