Tuambie Tabia yako ya Kimya kimya, Sirini ambayo unahisi watu wengine hawaijui

U Rais jamani naupenda mpaka imebaki kuw siri yangu.. Hata kula sometimes nashindwa.

Huwa napanga kila saa!! siku nikipata naanzia hapa.....kufanya kazi.na wazo la majighorofa Tanzania nzima ili tupate sehemu kubwa ya N/park halijawahi futika km wazo la kimya akilini mwangu!!

Nikipata mtu ana mbie tupindue faster tuuu!!!
 
Oya kwa mparange mzee dah ni noma ukishuka pale kimya kimya hakuna anaeniona wala kunijua alaf na skuti
 
Wakuu mnisamehe tu siri ni ya mtu peke yake hata kama hatujuani humu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…