Tuambie unahisi ni jambo gani limesaidia kufanikiwa kwenye kilimo

Tuambie unahisi ni jambo gani limesaidia kufanikiwa kwenye kilimo

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
kipi kilimo kinalipa, mtazamo na ukweli ninaojua ni kilimo cha mazao ya kudumu, kahawa, korosho, parachichi, ndizi nk ni mazao machache sana yasiyo ya kudumu yanayolipa mfano viazi mviringo, mpunga, tumbaku, mahindi(huku tunapiga pesa kutegemea msimu nimetaja mazao yanayolimwa nyanda za juu kusini na ambayo wakulima wengi wanatobolea maisha).

Je, mafanikio yanachukua muda kiasi gani kwenye kilimo, (mafanikio yapo very slow unaweza usijue kuwa unafanikkwa hasa kama unalima mazao ya kudumu).

so ili ufanikiwe kwa haraka kubali kulima na kufuga, mifugo ipi inalipa inayolipa kwa Tanzania? ni ngombe, mbuzi, nguruwe nje ya hapo sina uhakika na mifugo mingine nimetafiti sana kuhusu kuku nilochokiona hakuna ukweli kuhusu faida.

So ukitaka kufanikiwa kupitia kilimo na mambo yako yawe yaende lima na kufuga utakuja nishukuru badae, sijafanikiwa na mimi sio tajili bali nilichokiona ni kipato changu kubadilika as time goes on, ongeza au twambie kama umejikita kwenye kilimo unahisi nini kimechangia mafanikio kwenye kilimo unacholima.
 
kipi kilimo kinalipa, mtazamo na ukweli ninaojua ni kilimo cha mazao ya kudumu, kahawa, korosho, parachichi, ndizi nk ni mazao machache sana yasiyo ya kudumu yanayolipa mfano viazi mviringo, mpunga, tumbaku, mahindi(huku tunapiga pesa kutegemea msimu nimetaja mazao yanayolimwa nyanda za juu kusini na ambayo wakulima wengi wanatobolea maisha).

Je, mafanikio yanachukua muda kiasi gani kwenye kilimo, (mafanikio yapo very slow unaweza usijue kuwa unafanikkwa hasa kama unalima mazao ya kudumu).

so ili ufanikiwe kwa haraka kubali kulima na kufuga, mifugo ipi inalipa inayolipa kwa Tanzania? ni ngombe, mbuzi, nguruwe nje ya hapo sina uhakika na mifugo mingine nimetafiti sana kuhusu kuku nilochokiona hakuna ukweli kuhusu faida.

So ukitaka kufanikiwa kupitia kilimo na mambo yako yawe yaende lima na kufuga utakuja nishukuru badae, sijafanikiwa na mimi sio tajili bali nilichokiona ni kipato changu kubadilika as time goes on, ongeza au twambie kama umejikita kwenye kilimo unahisi nini kimechangia mafanikio kwenye kilimo unacholima.
Unafanya utafiti ukiwa juu ya viti virefu?
 
Unafanya utafiti ukiwa juu ya viti virefu?
Sasa bwana Chacha nawe ungeweka uzoefu wako katika angazako za upande ambao unadhani hakuutendea haki
mfano mimi naweza sema hata ufugaji kuku wa aina zote unalipa Ila ukichanganya na kilimo faida inapanda zaidi,hapa ili uone faida ya kuku ni lazima uwe na uelewa mzuri kwenye utunzaji wake kupunguza/ kuondoa Vifo na magonjwa,pia kufungua fursa zaidi ya kuku kutokana na mazingira uliopo_ kuku wa kienyeji maeneo ya pembezoni,unaangulisha kwa mafungu,upate vifaranga wengi kwa wakati m1_ itakusaidia katika uleaji wake na hata ukitaka kuwauza baada ya miezi 2, unawauza 2 vizuri,
Mbolea ukiweza kuitunza vizuri unaitumia kuzalisha mahindi ambayo utatumia kuwalisha wenye we na wewe pia mlo umepata
So kikubwa kinachowafanya wengi wasiamini ufugaji wa kuku unalipa ni kushindwa kukwepa changamoto zake ambazo huwasababishia hasa ra
 
Back
Top Bottom