mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 725
- 1,282
mkuu tuendeleze gambe tuchangie kodi ya nchi, madarasa yaongezeke😆Sinywi tena kila siku
Mkuu nikinywa gambe tena mje mnipige, naacha hii kitu rasmi ntakunywa maji.mkuu tuendeleze gambe tuchangie kodi ya nchi, madarasa yaongezeke😆
Njoo tuifanyie sendoff hii kitu hata mimi leo mwisho sinywi tena mkuuMkuu nikinywa gambe tena mje mnipige, naacha hii kitu rasmi ntakunywa maji.
Tunaisend off na vinywaji gani? Naona haja ya kuacha kabisaNjoo tuifanyie sendoff hii kitu hata mimi leo mwisho sinywi tena mkuu
😂 imeishaje na haijaanza, pole sanaWeekend imeisha kabla hata sijaianza [emoji854]I hate Monday.
Acha Tu [emoji28][emoji23] imeishaje na haijaanza, pole sana
HaahaaNjoo tuifanyie sendoff hii kitu hata mimi leo mwisho sinywi tena mkuu