Tuambie Unamiliki Gari bila kusema direct kwamba Una gari

Msiweke mafuta sheli ya Puma Sinza kijiwen ni wez wanacheza na pump
 
Mkuu, hakuna mkeka mtamu tanzania nzima kama wa ushirombo mpaka nyakanazi.. ni wamoto sanaa

Mkuu umeona mkeka wa masaki kule cocobeach ule mkeka umetengenezwa grade A tutamiss sana JPM. Nilijikuta nimefika 120kph afu ngoma naona kama haikimbiii[emoji28][emoji28][emoji28] imetulia road. Ule mkeka kwangu naupa no1
 
Kuna barabara ukipita lazima udondoshe taa,bolt mbalimbal hata kioo mama.e

Kuna sehem kunafaa kupita matrekta tu
 
Mkuu umeona mkeka wa masaki kule cocobeach ule mkeka umetengenezwa grade A tutamiss sana JPM. Nilijikuta nimefika 120kph afu ngoma naona kama haikimbiii[emoji28][emoji28][emoji28] imetulia road. Ule mkeka kwangu naupa no1

Unachosema ni kweli mkuu.. sema mkeka wa kahama nyakanazi ni mkeka wa 185km, umenyooka, hauna mashimo, hauna magari mengi, na kikubwa zaidi hauna matuta (ni mwendo wa zebra na alama nyingine)…

unamaliza kibati bila kujua…
 
Hakuna kitu kinaniudhi kama tochi za nguo nyeupe hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…