The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kumbe Impreza ndo inakimbia hivi, nilikuwa wapi mda wote?
Badilisha tairi acha kubet na kifo.Hivi tyre zilizokuja na gari inafaa kuendea Songea kutoka Dar?
Asante mkuu, hata hivyo nilikuwa na flow na maudhui ya uzi wenyewe.
Ha ha ha sawa [emoji3][emoji3]Asante mkuu, hata hivyo nilikuwa na flow na maudhui ya uzi wenyewe.
[emoji3][emoji3][emoji3]Acha kumdanganya, tairi zilizokuja na gari angalia expire date tu kama bado zipo ndani ya mda endelea kutumia. Huu huwaga ni ushauri wa wauza tairi used/mtumba. Nilinunua x3 mwaka 2019 tairi zake ni za mwaka 2018 natumia mpk leo sijabadili.
NB: nimepiga ndege wawili kwa jiwe moja, ushauri na kuchangia uzi.
X5 nimeipita hapo nyuma kama dk 20 hiviSasa hapo mwenyewe sjui una X5 [emoji3]
Mkuu unamiliki V8 ? Ile noah umeuza ukanunua V8, ?Kumbe hizi V8 kama ya Ndugai Ina speed hv? Sijutii maamuzi yangu, japo marejesho ya mkopo yatanitesa miaka 7
Noah nayo gari. Bora V8 japo gharamaMkuu unamiliki V8 ? Ile noah umeuza ukanunua V8, ?
Inategemea na aina ya gari unayomiliki[emoji1787][emoji1787]Wakuu hivi Dar to mbeya ni KM , na nikitoka saa kumi jioni natoboa saa ngapi? Kama nitaendesha mwendo wa serikali
Ni kweli Mkuu, V8 inakula 5km per liter , Hongera kama kweli unamilikia hilo dude big up sana.Noah nayo gari. Bora V8 japo gharama