Tuambizane fursa za kiuchumi kwa mwanachuo

toplemon

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
4,612
Reaction score
4,721
Naomba tudiscuss fursa ambazo mwana chuo anaweza akazitumia awapo chuoni kujitengenezea kipato
Karibuni sana wadau na wanajukwaa
 
Kuna nyuzi nyingi humu zimeeleza fursa mbalinbali kwa kirefu mkuu, hasa jukwaa la biashara.
 
Kuuza vocha hasa bundle, kutoa huduma za M pesa, T pesa, wanafuzi wengi wantegema kutumiwa Boom kutoka home, kunawale wadada wanaodanga
 
au cheki mazingira anzisha ujasi yaani biashara ya chakula sahani buku unawapigia mixa za pilau tambi majani kidogo kidogo, utalamba pesa chafu
 
au cheki mazingira anzisha ujasi yaani biashara ya chakula sahani buku unawapigia mixa za pilau tambi majani kidogo kidogo, utalamba pesa chafu
 
Kuuza karatasi naona zinalipa hasa kama upo hostel kwa udom kwani kwenye stationaries wanauza 50/= so ww unawza uza hata kwa 25=
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…