Tuamini au Tusiiamini Kazi ya Jaji J.S.Warioba

Tuamini au Tusiiamini Kazi ya Jaji J.S.Warioba

Chizi Fureshi

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2010
Posts
1,718
Reaction score
461
Naomba kufahamu hilo. Jaji Warioba kwa nyakati tofauti ameaminiwa na Umma, amewasilisha matakwa ya umma, amesimamia umma, ametetea umma, amejipambanua kwa umma. Kama ni hivyo, tuamini au tusiiamini kazi yake?
 
Back
Top Bottom