William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Kutokana na rasmu ya katiba ya muungano kuja na pendekezo la kuanzishwa serikari ya Tanzania bara na wazo hilo kuonekana kuungwa mkono na watu wengi sana na kuoneka kama limeshakubalika basi ni muda muhafaka kurijadili kwa kupendekeza muundo wake.
Kwanza napendekeza haya kwani utakuwa umebaki muda mfupi sana baada ya katiba ya muungano kukamilika hadi kufikia uchaguzi mkuu.
Katiba hiyo lazima iwe kamili kabla ya july 2015 ili itumike kwenye uchaguzi mkuu 2015.
Pendekezo langu kusiwe na wabunge ila kuwe na balaza la wenyeviti wa halmasauri.
Yani kila wilaya iwe na mwenyekiti wa halmashauri atakaechaguliwa na wananchi pamoja na majukumu ya kusimamia halmashauri husika, kufuatilia miradi ya maendeleo pia ndio awe mwakilishi wa wananchi katika baraza hilo. Hii itawafanya wenyeviti wawajibike zaidi na kuwafanya wananchi wawe na mtu mmoja anaowasemea na kuomba miradi ndie anayewasimamia.
Kwanza napendekeza haya kwani utakuwa umebaki muda mfupi sana baada ya katiba ya muungano kukamilika hadi kufikia uchaguzi mkuu.
Katiba hiyo lazima iwe kamili kabla ya july 2015 ili itumike kwenye uchaguzi mkuu 2015.
Pendekezo langu kusiwe na wabunge ila kuwe na balaza la wenyeviti wa halmasauri.
Yani kila wilaya iwe na mwenyekiti wa halmashauri atakaechaguliwa na wananchi pamoja na majukumu ya kusimamia halmashauri husika, kufuatilia miradi ya maendeleo pia ndio awe mwakilishi wa wananchi katika baraza hilo. Hii itawafanya wenyeviti wawajibike zaidi na kuwafanya wananchi wawe na mtu mmoja anaowasemea na kuomba miradi ndie anayewasimamia.