Tuanze kukisia maneno ya Zahera baada ya kichapo kutoka kwa Zesco. Kikongo ruksa!

Kamgomoli

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2018
Posts
1,896
Reaction score
4,058
Boo njoo vile mi nasemaka, TFF iko inaonea sn Yanga. Wamenifungia mimi kuvaa hii niniiii kaptura,ona sasa tunapoteza mechi. Yote haya ni mambo ya ovyooo
 
Boo mimi nasemaya ile fit na confideshoo ya wajezaj haikua , walishindwa kuingiza gool kwa goal
 
Angalia kumawasapu, kumatwita yote yanasema yanga imeingizwa goli moya na zesco, mimi nawambia mashabiki yangu kwao tunaingiza goli hizi[emoji111]mbili.
 
Angalia kumawasapu, kumatwita yote yanasema yanga imeingizwa goli moya na zesco, mimi nawambia mashabiki yangu kwao tunaingiza goli hizi[emoji111]mbili.
Hahahaaaa we jamaaa hatari sn
 
Juu vile toto Africa ilisabisha bhachezaji kuchoka, boo huwezi shinda mechi wakati tff napendelea sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…