Tuanze na vodacom

Tuanze na vodacom

balibabambonahi

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2015
Posts
15,771
Reaction score
14,294
Wengi wetu wapenda soka tuliiona kama mkombozi wa mpira wetu,tukaipendà na kuwa wateja wa bidhaa zake,ikafaidika sana na soka nikajua.Hii Leo wamejitoa na kutuacha wapweke.Tuwasusie ili bidhaa zao zidode.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi wetu wapenda soka tuliiona kama mkombozi wa mpira wetu,tukaipendà na kuwa wateja wa bidhaa zake,ikafaidika sana na soka nikajua.Hii Leo wamejitoa na kutuacha wapweke.Tuwasusie ili bidhaa zao zidode.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo!!! asili ya Mtanzania kununua bidhaa fulani si kwa sababu ya matangazo bali ni urahisi wa bidhaa hiyo. Kwa taarifa yako hakuna mtanzania hata mmoja aliyeamasika kujiunga na voda kisa wanadhamini mpira bali ni urahisi wa huduma zao wa data pamoja na muda wa maongezi kadhalika mtandao wake unafikika sehemu nyingi na huduma za kutuma fedha kazianza siku nyingi na ana uzoefu nazo
 
Acha uongo!!! asili ya Mtanzania kununua bidhaa fulani si kwa sababu ya matangazo bali ni urahisi wa bidhaa hiyo. Kwa taarifa yako hakuna mtanzania hata mmoja aliyeamasika kujiunga na voda kisa wanadhamini mpira bali ni urahisi wa huduma zao wa data pamoja na muda wa maongezi kadhalika mtandao wake unafikika sehemu nyingi na huduma za kutuma fedha kazianza siku nyingi na ana uzoefu nazo
Umefanya utafiti? Mimi nilikuja sababu ya mpira,unasemaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom