tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,437
mkuu hi si ise tu, ni kuziweka zile koma 80,936,000m = 80 Trilion , mmhh hapa jama atakuwa kabugi huu msiko ni mrefu mno.milioni 80936000 ndio shilingi ngapi?
ina maana kanyoni alizihitaji hizi docs ili kuendelea na kesi yake siyo???!!!!Hii kesi ndio ilikuwa kwenye laptop na nyaraka zake zilikuwa zinahitajika sio???!!!!!!
Nafurahi unavyozidi kufunguka; mimi wala sijahitaja serkali kama ulivyofanya wewe hapo kwenye RED.
Bila shaka unayo mengi sana moyoni mwako kuhusu sakata la mauaji ya Dr. Mvungi (RIP)!
mkuu hi si ise tu, ni kuziweka zile koma 80,936,000m = 80 Trilion , mmhh hapa jama atakuwa kabugi huu msiko ni mrefu mno.