kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,722
- 1,965
Mkuu unaikumbuka DEC?Nina wazo wakuu ningependa tukusanyane Kwa pamoja tuunge kikundi cha vikoba. Na tuanze kukopeshana mitaji sisi Kwa sisi lengo ni kusaidiana na kutatuliana changamoto hizi za maisha yetu ya kila siku.. Asanteni wakuu.
Ebu angalia majirani na walimu wenzio pamoja na watu wanao kuzunguka, kisha uwape wazo hiliNina wazo wakuu ningependa tukusanyane Kwa pamoja tuunge kikundi cha vikoba. Na tuanze kukopeshana mitaji sisi Kwa sisi lengo ni kusaidiana na kutatuliana changamoto hizi za maisha yetu ya kila siku.. Asanteni wakuu.
Ndio nini?Mkuu unaikumbuka DEC?
Subiri waje mkuuPambana Na Hari Yako Bwana Mdogo
Kiviere Wa Usangi
Woga wako ndo kujichelewesha kwakoanzisha na majirani zako.. na ndugu zako pia .. vicoba ni kwa watu mnaojuana , ili mkizulumiana mjue pa kukamatana
anzisha na majirani zako.. na ndugu zako pia .. vicoba ni kwa watu mnaojuana , ili mkizulumiana mjue pa kukamatana