Tubadilike Slogan sasa iwe kwa Mkapa Mgeni anakomba zote 3 au anachukua 1 ya Faida Kwake sawa?

Tubadilike Slogan sasa iwe kwa Mkapa Mgeni anakomba zote 3 au anachukua 1 ya Faida Kwake sawa?

Cognizant

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2022
Posts
626
Reaction score
1,409
Mwekezaji Ni Dewji na Viongozi wako / wenzako akina Salim Abdallah Mhene 'Try Again", Murtaza Mangungu na CEO Imani Kajula upesi sana kaeni Kitako na Wachezaji wa Simba SC myamalize kwani Upuuzi huu wa Kinatokea ukiendelea mtakuja Kupigwa / Kuchapika vibaya na Mashabiki na hiyo Timu itatekwa Kimafia na itaenda jinsi ambavyo Mafia tunataka iende ili irejeshe Furaha na Imani kwa Wengi.
 
Mwekezaji Ni Dewji na Viongozi wako / wenzako akina Salim Abdallah Mhene 'Try Again", Murtaza Mangungu na CEO Imani Kajula upesi sana kaeni Kitako na Wachezaji wa Simba SC myamalize kwani Upuuzi huu wa Kinatokea ukiendelea mtakuja Kupigwa / Kuchapika vibaya na Mashabiki na hiyo Timu itatekwa Kimafia na itaenda jinsi ambavyo Mafia tunataka iende ili irejeshe Furaha na Imani kwa Wengi.
Cognizantmycine

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mechi ya tatu ya kimashindano bila ushindi inafikirisha! Kuna mahali panavuja huko Mbumbumbu fc, anguko kamili ni suala la muda tu
But huwa inatokea timu kali kuporomoka hadi kuwa nyanya kabisa! Iwapo viongozi hawaskizi mashabiki
 
Mwekezaji Ni Dewji na Viongozi wako / wenzako akina Salim Abdallah Mhene 'Try Again", Murtaza Mangungu na CEO Imani Kajula upesi sana kaeni Kitako na Wachezaji wa Simba SC myamalize kwani Upuuzi huu wa Kinatokea ukiendelea mtakuja Kupigwa / Kuchapika vibaya na Mashabiki na hiyo Timu itatekwa Kimafia na itaenda jinsi ambavyo Mafia tunataka iende ili irejeshe Furaha na Imani kwa Wengi.
Kwa Mkapa Hatutoki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Bado Simba ina matumaini ya kubeba kombe lolote hasa la ligi kama vile mashabiki walivyoaminishwa?

Hapa tunasema kila siku, TFF ni Simba, sasa jiulize hii Simba ndo ingekutana na Azam, kuliwa na kipigo kingine kisichopungua goli 3.
 
Back
Top Bottom